OFM YAMSHUGHULIKIA WAZIRI WA JK
![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnVXqyyKSo7ec93EUqIpUZk4U83D7DWmUNj-6c68hJdULukzwzxHYEJ*pq*m47Ej8ZjAw1mh26M422AABp8ase5y/1.jpg)
Stori: Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda Kaa chonjo! Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), mheshimiwa Kassim Majaliwa amejikuta akitumbukia kwenye kamera za Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers baada ya kuchunguzwa kwa kuingia hotelini akiwa ametanguliwa na mrembo mmoja aliyedaiwa kuwa na ahadi naye, Ijumaa Wikienda lina picha kamili. Gari la mheshimiwa Kassim...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL20 Mar
OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KYKQZva9R5jpXzkiF--Eq8oOPSoPDAQrwkKPYCD80WN5MK94Mi6JjfKqm9V5vXvZMB8ZX05z-QMi15uBsLA91X/ofm.jpg?width=650)
OFM YAMNASA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD519TsRPPXMYBynhxdN7X9oWdEA32OhlMV5d0JOpr5AJ-RJNvn6q*jRVytcZHT3TK8lADlfPn1CgaWCk64OsXC5vq/Wagombea.gif?width=650)
OFM YANASA MAJINA YA WAGOMBEA...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kamanda OFM avamiwa na vibaka
Mwandishi wetu, Moro
Hii si sawa! Kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, Mkoa wa Morogoro, Dustan Shekidele amevamiwa na vibaka kisha kuporwa kamera na simu alipokuwa akiwatetea wananchi waliovamiwa na vibaka hao katika Mkesha wa Mwaka Mpya.
Awali kamanda huyo alikuwa kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mji Mpya, alipotoka majira ya saa 6:00 usiku ndipo akapigiwa simu na akina mama waliokuwa wakilalamika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1dpynjVO847iosLvjyeN2v48j5KxBBwPg8*uyMBUK4u8t2rfEedBlgdwWatAn4jWec-i7DqZzq*gRKmEQG2HCA/ofm.jpg?width=650)
OFM YAFUMUA DANGURO SHULENI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ij5jBZ0fblIPAKuqkdt9*3bIu2mV*tgfPcfenGXoC3tdrcmpMYExfT9rKUs6Q29ccOX6iXWmUeBEk8-2kwpQSPW/MBELE.jpg)
OFM YAFUMUA DANGURO MWANZA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun1yzOCJleyhV6QRB1kwpVxXyPYH2PY1DLwO9IYRZge5gqFVnDKUBiWVc7rnDTVyUDSwQPTCpouL01PWHWNCuGd*/OFM.gif?width=650)
OFM YAFICHUA UCHAFU WA KUTISHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlygLmryaKBo50Qnd3di7PFjJ16UJk9hBdftoKgkAV-UOqYpwbzynwOgCk6eqFkYHLLnKqCycnO-oAd8O4aXaht/OFM.gif?width=650)
OFM YANASA MABAAMEDI WAKIUZWA!
9 years ago
Global Publishers02 Jan
OFM yabaini Utapeli tiba mbadala
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoDk. Hamis Kigwangalla alipotembelea Kituo ya Tiba Asilia ya Fore Plan Clinic kilichopo Ilala -Bungoni, Dar wiki chache zilizopita.
Na Waandishi Wetu
WAKATI idadi ya watu wanaoamini katika tiba ya mitishamba badala ya hospitali ‘Tiba Mbadala’ inayotolewa na kliniki mbalimbali nchini ikizidi kuongezeka, Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers ‘OFM’ imebaini udanganyifu mkubwa unaofanywa na baadhi ya matabibu katika tiba...