OFM YANASA MABAAMEDI WAKIUZWA!
![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlygLmryaKBo50Qnd3di7PFjJ16UJk9hBdftoKgkAV-UOqYpwbzynwOgCk6eqFkYHLLnKqCycnO-oAd8O4aXaht/OFM.gif?width=650)
Chande Abdallah na Deogratius Mongela WAMENASWA! Kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Moavu (OFM) cha Global Publishers mwishoni mwa wiki kiliwanasa wahudumu wa baa wakiuzwa kwa wanywaji wanaohitaji huduma ya ngono katika mtego uliofanywa katika baa moja iliyopo Ubungo External, Ilala jijini Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1UC9ooV
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzb*fIbzElr8*704Fe30CcvGRGMYpKV3Jzo5eS4o188ehK2MwnX*DjDwv3xeh6qJl9vaM24rARAVdGIsDwhhm1S7/Dawa.gif?width=650)
OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD519TsRPPXMYBynhxdN7X9oWdEA32OhlMV5d0JOpr5AJ-RJNvn6q*jRVytcZHT3TK8lADlfPn1CgaWCk64OsXC5vq/Wagombea.gif?width=650)
OFM YANASA MAJINA YA WAGOMBEA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*Cp0ToJBA3fqngYh37FEJyojKfwl7ulutnXjjazWF462NYZNfOa4ZQ5*RQVZc8DMsBXvN0S8z7QrdYBn*ZSkasHh/DENTI.jpg)
OFM YANASA DENTI DARASA LA 6 AKIJIUZA!
11 years ago
GPL20 Mar
OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KYKQZva9R5jpXzkiF--Eq8oOPSoPDAQrwkKPYCD80WN5MK94Mi6JjfKqm9V5vXvZMB8ZX05z-QMi15uBsLA91X/ofm.jpg?width=650)
OFM YAMNASA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnVXqyyKSo7ec93EUqIpUZk4U83D7DWmUNj-6c68hJdULukzwzxHYEJ*pq*m47Ej8ZjAw1mh26M422AABp8ase5y/1.jpg)
OFM YAMSHUGHULIKIA WAZIRI WA JK
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Mar
TRA yanasa malori ya magendo
NA SAMSON CHACHA, TARIMEUKAMATWAJI wa malori yanayosafirisha mizigo kwa njia ya magendo kutoka Kenya kwa kupitia mpaka Sirari mkoani Mara, umezidi kushika kasi ambapo jana yalikamatwa matatu yaliyosheheni bidhaa mbalimbali zikiwemo nondo na saruji. Magari hayo yalikamatwa kwa ushirikiano wa Maofisa wa Forodha wa kituo cha Sirari wakishirikiana na wenzao wa kodi za ndani wilayani hapa. Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Forodha Mkoa wa Mara, Ben Usaje, alisema magari hayo ni fuso mbili zenye...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Azam yanasa kifaa Ferroviarrio
UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC, umeendelea kusaka nyota kuimarisha kikosi chao, ambapo hivi sasa wako mbioni kumnasa mshambuliaji wa Ferroviarrio de Beira ya Msumbiji, Manuel Correia....