Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANGALIA KACHERO WA OFM AKITOA TAARIFA JINSI KIJANA ALIVYOFUMANIWA, AKAVISHWA KANGA, KUTEMBEZWA MITAANI

Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Salum Athuman (22), alijikuta akivishwa kanga na kutembezwa mitaani baada ya kwenda nyumbani kwa mwanaume mwenzake, Dastun Mkereti (26) kwa lengo la kujivinjari na mke wa mtu, Stela Ramadhan (20), akafumaniwa. GLOBAL TV ONLINE KUPITIA KWA KACHERO WA OFM INAKUPA UHONDO!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI

Mshuhudie Kamanda hatari wa OFM aliyepania kuibadilisha Tanzania, akiripoti tukio la aina yake ambapo mara hii amemnasa mzungu aliyekuwa na denti wa kidato cha tatu gesti, tena usiku wa manane! Ungana na Global TV Online kupata full stori!

 

10 years ago

GPL

OFM KAZINI! KIJANA ANASWA LAIVU KWA KUUNDA MTAMBO WA KUWAIBIA AZAM, ZUKU

Stori: Chande  Abdallah na Deogratius mongela
Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha watu kuangalia matangazo ya televisheni ya vituo mbalimbali kwa malipo rahisi. Bw. Ali anayedaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya vituo...

 

9 years ago

StarTV

Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.

Mtu mmoja  mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli  huku akiwa amekatwa  baadhi ya viungo vya mwili wake.

Kijana huyo aliyetambulika  kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya  miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa  ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku  baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...

 

10 years ago

Michuzi

WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA

UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union "Wagosi Kaya" umekanusha vikali taarifa zilizizoenezwa kuwa mlinda mlando wa kikosi cha Vijana wenye umri chini ya miaka ishirikini U-20 Fikirini Suleimani “Mapara" kuwa amesajiliwa na Klabu ya African Sports “Wanakimanumanu”
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani