ANGALIA KACHERO WA OFM AKITOA TAARIFA JINSI KIJANA ALIVYOFUMANIWA, AKAVISHWA KANGA, KUTEMBEZWA MITAANI
Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Salum Athuman (22), alijikuta akivishwa kanga na kutembezwa mitaani baada ya kwenda nyumbani kwa mwanaume mwenzake, Dastun Mkereti (26) kwa lengo la kujivinjari na mke wa mtu, Stela Ramadhan (20), akafumaniwa. GLOBAL TV ONLINE KUPITIA KWA KACHERO WA OFM INAKUPA UHONDO!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL20 Mar
OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA1t6uh5Nj5ZPjiFACPndiEUDXX4yQ6VSZKVA1-Ckw7da3Jdc9nedv2yI1Z*PMhxSSGuLY0dAewYxdb5A8Fosdrs/ofm.jpg)
OFM KAZINI! KIJANA ANASWA LAIVU KWA KUUNDA MTAMBO WA KUWAIBIA AZAM, ZUKU
9 years ago
StarTV01 Sep
Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.
Mtu mmoja mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli huku akiwa amekatwa baadhi ya viungo vya mwili wake.
Kijana huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...
10 years ago
Michuzi17 Aug
WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...