WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA
UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union "Wagosi Kaya" umekanusha vikali taarifa zilizizoenezwa kuwa mlinda mlando wa kikosi cha Vijana wenye umri chini ya miaka ishirikini U-20 Fikirini Suleimani “Mapara" kuwa amesajiliwa na Klabu ya African Sports “Wanakimanumanu”
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Sep
11 years ago
Mwananchi03 May
Wagosi wa Kaya warudi na Uamsho
10 years ago
StarTV01 Sep
Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.
Mtu mmoja mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli huku akiwa amekatwa baadhi ya viungo vya mwili wake.
Kijana huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...
9 years ago
Bongo511 Nov
Wagosi wa Kaya yavunjika rasmi, Dokta John aanzisha kundi lake

Msanii wa kundi la Wagosi wa Kaya, Dokta John amethibitisha kufa kwa kundi hilo na kwamba ameanzisha kundi jipya mjini Tanga liitwalo The Family.
“Ni kwamba mimi kama Dokta John kutoka kundi la Wagosi wa Kaya nimeamua sasa hivi kuanzisha familia yangu kwa malengo mazuri tu ya kufanya Tanga sasa hivi isikike katika muziki huu wa Hip Hop,” Dkt. John alikiambia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio.
“Na suala la huhusu harakati za albamu ya Wagosi wa Kaya, watu wangesoma...
11 years ago
Michuzi18 Jun
UHAMIAJI WAKANUSHA JUU YA MHAMIAJI ALIYEDAIWA KUTOROSHWA



Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba amekanusha vikali taarifa za aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa na kueleza kuwa mtu huyo alipatiwa notice ya kuondoka nchi ambapo Juni 10 mwaka huu...
10 years ago
GPLWAKUU WA MADEREVA, BODABODA DAR WAKANUSHA TAARIFA ZA MAANDAMANO