Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagosi wa Kaya yavunjika rasmi, Dokta John aanzisha kundi lake

Wagosi wa Kaya

Msanii wa kundi la Wagosi wa Kaya, Dokta John amethibitisha kufa kwa kundi hilo na kwamba ameanzisha kundi jipya mjini Tanga liitwalo The Family.

Wagosi wa Kaya

“Ni kwamba mimi kama Dokta John kutoka kundi la Wagosi wa Kaya nimeamua sasa hivi kuanzisha familia yangu kwa malengo mazuri tu ya kufanya Tanga sasa hivi isikike katika muziki huu wa Hip Hop,” Dkt. John alikiambia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio.

“Na suala la huhusu harakati za albamu ya Wagosi wa Kaya, watu wangesoma...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Wagosi wa Kaya warudi na Uamsho

>Mara ya mwisho kupanda jukwaani ilikuwa ni mwaka 2006 katika onyesho la kufunga mwaka lililofanyika katika ukumbi wa La Cassa Chika huko mkoani Tanga. Lilikuwa kundi la muziki lililojumuisha vijana wawili ambao walikuwa wakiongea kwa mara ya kwanza mambo muhimu yanayoihusu kwa karibu kabisa jamii ya Watanzania hasa waishio mkoa wa Tanga.

 

10 years ago

Michuzi

WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA

UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union "Wagosi Kaya" umekanusha vikali taarifa zilizizoenezwa kuwa mlinda mlando wa kikosi cha Vijana wenye umri chini ya miaka ishirikini U-20 Fikirini Suleimani “Mapara" kuwa amesajiliwa na Klabu ya African Sports “Wanakimanumanu”
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...

 

9 years ago

Bongo5

Quick Rocka aanzisha kundi jipya la muziki ‘One G’

_K0A2053

Quick Rocka ameanzisha kundi jipya liitwalo ‘One G.’

_K0A2053

Amesema kundi hilo litakuwa chini ya label yake, Switch.

“Kubwa zaidi 2016 ni ujio wa kundi la wasanii wangu One G kupitia record label yangu Switch na producer wangu Luffa,” aliiambia Bongo5.

“Kwahiyo mwaka unaokuja tutaanza nao kwa sababu tayari wana ngoma yao mpya pamoja na video. Lengo letu ni kupeleka muziki mbele na kuleta ushindani mpya kwenye muziki na wasanii wachanga watoke,” alisema.

Hata hivyo Quick amesema ujio wa kundi hilo...

 

9 years ago

Bongo5

Sisqo na kundi lake la Dru Hill kutumbuiza Kenya Jumamosi hii

Mark Althavean Andrews, maarufu kama Sisqó ni mwimbaji wa RnB kutoka Marekani ambaye alivuma mwishoni mwa miaka ya 90 na hits zake kama ‘Unleash the Dragon’, ‘Thong Song’ na zingine. Sisqó pia ni lead singer wa kundi la ,ru Hill ambalo limewahi kutamba na nyimbo kama ‘How Deep Is Your Love’, ‘In My Bed’ na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani