Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.
Mtu mmoja mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli huku akiwa amekatwa baadhi ya viungo vya mwili wake.
Kijana huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Aug
WAGOSI WA KAYA WAKANUSHA TAARIFA YA WANA KIMANUMANU JUU YA KIPA KIJANA FIKIRI SULEIMANI MAPARA
Umesema taarifa hizo hazina ukweli wowote bali Fikirini bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga na ni miongoni mwa wachezaji watakaoonekana kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Taarifa iliyotolewa leo kwa nyombo vya Habari...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Lzlv5UssJDk/VG9Blc9951I/AAAAAAAA9X4/PKnu4QSjdjw/s72-c/Sande%2BMrema.png)
KIJANA SANDE ALIYEKUWA NA KILO 250, AMEFARIKI DUNIA NA KUZIKWA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lzlv5UssJDk/VG9Blc9951I/AAAAAAAA9X4/PKnu4QSjdjw/s1600/Sande%2BMrema.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s72-c/IMG_2449.jpg)
KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s640/IMG_2449.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5GA5-mf_fTo/Vg1Lp6x64aI/AAAAAAABmeI/gjMrokJyOmk/s640/IMG_2425.jpg)
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA SABA LA ELIMU YA JUU LAENDELEA JIJINI ARUSHA
9 years ago
MichuziVYUO VIKUU NCHINI KUNOANA KATIKA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU 2015 JIJINI ARUSHA
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Mauaji hotelini Arusha yatufumbue macho
WIKI iliyopita jijini Arusha kulitokea mauaji ya aina yake ndani ya hoteli moja maarufu katikati ya jiji, ambapo mfanyabiashara mmoja kijana alichinjwa na kisha muuaji wake akaondoka na kichwa, viganja, sehemu za siri na matiti.
Mauaji hayo yaliyovuta hisia za wakazi wengi wa jiji hilo ni ya aina yake kuwahi kutokea ndani ya hoteli katika siku za hivi karibuni na yaliwatia hofu wakazi na pia wageni wa jiji hilo maarufu kwa biashara na utalii katika ukanda huu wa Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s72-c/Image1.jpg)
MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s640/Image1.jpg)
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
"Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...