Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji hotelini Arusha yatufumbue macho

WIKI iliyopita jijini Arusha kulitokea mauaji ya aina yake ndani ya hoteli moja maarufu katikati ya jiji, ambapo mfanyabiashara mmoja kijana alichinjwa na kisha muuaji wake akaondoka na kichwa, viganja, sehemu za siri na matiti.

Mauaji hayo yaliyovuta hisia za wakazi wengi wa jiji hilo ni ya aina yake kuwahi kutokea ndani ya hoteli katika siku za hivi karibuni na yaliwatia hofu wakazi na pia wageni wa jiji hilo maarufu kwa biashara na utalii katika ukanda huu wa Afrika...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ya Rombo na yatufumbue macho sote

Wenye kufuatilia taarifa za habari mbalimbali naamini wamesikia habari za wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro katika nchi yetu hii ya Tanzania. Tumepata taarifa ya kwamba huko unywaji wa pombe haramu ya gongo umekithiri na kwamba tayari idadi kubwa ya watu haswa wanaume wameathirika.

 

9 years ago

StarTV

Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.

Mtu mmoja  mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli  huku akiwa amekatwa  baadhi ya viungo vya mwili wake.

Kijana huyo aliyetambulika  kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya  miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa  ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku  baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...

 

10 years ago

Mwananchi

Lema: Kinana amepigwa changa la macho Arusha

>Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwapokea viongozi wawili akisema wanatoka Chadema na kumtuhumu Mbunge wa Arusha, Godbless Lema kuwa anatumia madaraka yake kujinufaisha na mali za umma, mbunge huyo amejibu akisema: “Kinana amepigwa changa la macho.”

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEFANYA MAUAJI YA KINYAMA JIJINI ARUSHA AKAMATWA


Na Woinde  Shizza

Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hotel ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas (pichani)  alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini hapa.
Kamanda Sabas alisema kuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Padri mtarajiwa akamatwa kwa mauaji Arusha

LiberatusSabasNA JANETH MUSHI, ARUSHA

JESHI la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa tano wa masomo ya falsafa katika Chuo cha Dini cha Kanisa Katoliki kilichopo Segerea, Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji.

Elijus Lyatuu (31), anashikiliwa kwa tuhuma za kumuua Alfred Kimbaa (18) maarufu kwa jina la Mandela mwanzoni mwa wiki katika Hoteli ya A Square Belmont katikati ya Jiji la Arusha.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa alimuua Kimbaa usiku wa kuamkia Jumatatu katika hoteli hiyo na kuchukua baadhi...

 

9 years ago

Michuzi

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA

Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blogMtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hoteli ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini Arusha.
Sabas ...

 

9 years ago

Michuzi

MUTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA


Na Woinde  Shizza, 
wa libeneke la kaskazini blog

Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hotel ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas (pichani)  alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini hapa....

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa. 
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani