Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YTPB79eNT0/VBlsAAVgjdI/AAAAAAAGkDw/QxSzT-kFR1Q/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa.
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
![](https://2.bp.blogspot.com/-WpT3vYafmR0/VGUM7R6dcHI/AAAAAAAGxCU/IpOil7re9G8/s640/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/32.jpg)
![5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/52.jpg)
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/61.jpg)
![7](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/72.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/41.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama ya mauaji ya kimbari Rwanda yafungwa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FnlHNtHb95M/VOvdyk3FXII/AAAAAAAHFgs/SCtqGm_lILU/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
UN-ICTR Yatoa Msaada wa Vifaa vya kazi kwa Mahakama Kuu ya Tanzania
11 years ago
MichuziUN-ICTR Yatoa Msaada wa Magari ya Kiusalama kwa Polisi Arusha
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani.
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9XLxZ6LHtd4/VnerKBUpDwI/AAAAAAAAlOU/FREt7u4RWoA/s72-c/Lakilaki%2B1%2B.jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9XLxZ6LHtd4/VnerKBUpDwI/AAAAAAAAlOU/FREt7u4RWoA/s640/Lakilaki%2B1%2B.jpg)
Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa akipata maelekezo ya ziada kuhusu ujenzi wa Mahakama ya Umoja wa Mataifa kwenye eneo la Lakilaki Jijini Arusha. Aneyetoa maelezo ni Afisa Mambo ya Nje na Mwansheria Bw. Elisha Suku. Kushoto kwa Waziri Mahiga ni Nd. Hamdouny Mansour, Katibu Tawala Msaidizi upande wa miundombinu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-w21yO4tNzVo/VnerL0tIfYI/AAAAAAAAlOs/-fa7tGFOxPw/s640/Lakilaki%2B5.jpeg)
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda