UN-ICTR Yatoa Msaada wa Magari ya Kiusalama kwa Polisi Arusha
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Halaiki ya Rwanda (UN-ICTR) iliyo na makao yake makuu mjini Arusha leo imetoa msaada wa magari mawili ya kiusalama (Amoured Cars) kwa jeshi la polisi mkoani Arusha ili kuimarisha shughuli zake za kiusalama mkoani hapo.
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani.
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YTPB79eNT0/VBlsAAVgjdI/AAAAAAAGkDw/QxSzT-kFR1Q/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FnlHNtHb95M/VOvdyk3FXII/AAAAAAAHFgs/SCtqGm_lILU/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
UN-ICTR Yatoa Msaada wa Vifaa vya kazi kwa Mahakama Kuu ya Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s72-c/unnamed+(12).jpg)
JAPAN YATOA MSAADA WA MAGARI KWA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dOPOv9pSxY/Uz8RmgdVMnI/AAAAAAAFYo4/I_mpUjPENeM/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
EU yatoa msaada wa magari TaCRI
JUMUIYA ya Umoja wa Ulaya, (EU), imetoa msaada wa magari saba kwa taasisi ya utafiti wa zao la Kahawa nchini, (TaCRI), yenye thamani ya sh. milioni 631.9. Aidha, hatua hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0218.jpg)
RED CROSS YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MTO WA MBU-ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUWD3QmWe-g/Xl0ofc9ZbtI/AAAAAAAAQVU/Phf2Zt-C3LI7Ec-UmQc3kwGtRM-xImREwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0218.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GeD2BonvIO4/Xl0omYzDHGI/AAAAAAAAQVY/i7-84Oe9AQwq40IGUGDhbSvnyoIuPbAQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0219.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dIPP2YCJe_Y/Xl0oxxpcFxI/AAAAAAAAQVc/MKTRi_LeNXI3lNW4ovwJY4jItvhG-S34QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0221.jpg)
Na,Vero...
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uL91fYcZAkU/XsPkqHtnw_I/AAAAAAALqyg/EISGJwoNKDcB1rIhKiu3WVLHdRdfnouRgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200519-WA0028.jpg)
URA SACCOS YATOA MSAADA VIFAA VYA KITABIBU KWA JESSHI LA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uL91fYcZAkU/XsPkqHtnw_I/AAAAAAALqyg/EISGJwoNKDcB1rIhKiu3WVLHdRdfnouRgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200519-WA0028.jpg)
Mkuu wa kitengo cha rasilimaliwatu Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Anthony Rutashuburugukwa, akikata utepe kuashiria kupokea vifaa vya kitabibu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 170 kutoka Ushirika wa Kuweka na Kukopa Fedha wa Usalama wa Raia (URA SACCOS), kulia kwake ni mwakilishi wa bodi ya URA SACCOS, Stanford Busumbiro na kushoto kwake ni Kamanda wa Kikosi cha Afya, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Hussein Yahaya. (Picha na Jeshi la Polisi)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RxDMVNMwA10/XsPkqenm-xI/AAAAAAALqyo/w_9ktw0uGR0-JUsx0Z55WGQrEOfKrNv_wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200519-WA0029.jpg)
Mkuu wa...
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Kampuni ya Tigo yatoa msaada Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Bw. David Charles (mwenye miwani kichwani) akiongoza wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Tigo kutoa msaada kwa wagonjwa wa Hospitali ya Tengeru kwenye siku ya Wapendanao mwishoni mwa wiki Mkoani Arusha.
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii wa Tigo Bi.Woinde Shisael akikabidhi msaada kwa mgonjwa Bi.Elizabeth Swai ikiwa ni sehemu ya msaada uliyotolewa na Kampuni ya Tigo siku ya Wapendanao (Valentine Day) kwenye Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha mwishoni...