Kampuni ya Tigo yatoa msaada Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Bw. David Charles (mwenye miwani kichwani) akiongoza wafanyakazi wenzake wa Kampuni ya Tigo kutoa msaada kwa wagonjwa wa Hospitali ya Tengeru kwenye siku ya Wapendanao mwishoni mwa wiki Mkoani Arusha.
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii wa Tigo Bi.Woinde Shisael akikabidhi msaada kwa mgonjwa Bi.Elizabeth Swai ikiwa ni sehemu ya msaada uliyotolewa na Kampuni ya Tigo siku ya Wapendanao (Valentine Day) kwenye Hospitali ya Tengeru Mkoani Arusha mwishoni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Kampuni ya Tigo yatoa msaada Hospitali ya rufaa ya Ligula mkoani Mtwara
Meneja wa kampuni ya Tigo kanda ya Kusini, Lilian Mwalongo (kulia) akizungumza na waandishi na uongozi wa hospitali ya Rufaa ya Ligula mkoani Mtwara wakati wa kukabidhi msaada wa vyandarua 1,000 vyenye thamani ya milioni 15,Akiyekaa(katikati) ni Kaimu mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda na (kushoto) Mganga mkuu wa mkoa , Dk.Shaibu Maarifa.
10 years ago
Dewji Blog19 May
Kampuni ya Tigo yatoa msaada wa Kompyuta hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akimkabidhi Mkuu wa wilaya Nyamagana, Mhe. Baraka Konisaga, moja ya kompyuta 25 zilizotolewa msaada na kampuni ya Tigo kwa hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza leo asubuhi.
Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga akizungumza jambo na Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez, katikati ni Mwenyekeiti wa bodi ya hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza Christopher Mwita Gachuma mara baada ya kukabidhi komputa 25 kwa hospitali hiyo.
Meneja Mkuu wa Tigo...
10 years ago
Michuzi23 Dec
Kampuni ya TTCL yatoa msaada Hospitali ya Ocean Road
![Mkuu wa Huduma kwa wateja wa kampuni ya TTCL, Laibu Leonard (wa kwanza kulia) akimkabidhi baadhi ya misaada Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Ocean Road, Marry Haule (nguo ya bluu) waliyoitoa kwa wagonjwa. Wengine ni maofisa wa TTCL.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00203.jpg)
![Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wakishusha bidhaa mbalimbali ambazo wamezitoa kama msaada kwa wagonjwa wa kansa Hospitalini hapo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00351.jpg)
![Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Ocean Road, Marry Haule (nguo ya bluu) akishukuru TTCL mara baada ya kukabidhiwa msaada huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0052.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Kampuni ya TIGO yatoa zawadi ya Eid na kufuturisha mkoani Singida
Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani)akikabidhi zawadi za sikukuu ya Eid kwa Msemaji mkuu wa msikiti wa Taqwa Singida Mjini, Sheikh Saad Mhando kabla ya kupata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo mkoani humo.
Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani)akiwa pamoja na Masheikh na watoto wa Msikiti wa Taqwa mjini Singida kwenye dua ya pamoja.
Wahuduma wa chakula wakitoa huduma kwa waalikwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampuni ya Tigo yazindua minara Mkoani Geita
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa(aliyevaa suti)akikata utepe kuzindua mnara mpya wa mtandao wa Tigo katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe Mkoani Geita.
Meneja Masoko wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Mashauri (kushoto) akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa,alipofika kuzindua mnara mpya katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani Mbogwe.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa,akiongozana na wananchi kuondoka baada ya kuzindua mnara wa Tigo katika Kijiji cha Ilolangulu Wilayani...
10 years ago
Dewji Blog14 Apr
Kampuni ya TIGO yadhamini kongamano la wanachuo wa IAA Arusha
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/23.jpg)
![7](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/71.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/42.jpg)
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/63.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4z3pbuzUQt0oHKfb0w1OmsfqNKYIVT6qtl4YifhLNGLZKqEZJ6380XNIdCKoCzy936ylWLayo-7PkhSAKgcCIcP/AMANA.jpg?width=650)
GLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA
11 years ago
Habarileo07 Jan
Sumatra yatoa msaada hospitali ya Kisarawe
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetoa msaada wa vifaa vya hospitalini na kuwapa zawadi waliojifungua katika Hospitali ya Wilaya, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Mwaka mpya.