Sumatra yatoa msaada hospitali ya Kisarawe
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetoa msaada wa vifaa vya hospitalini na kuwapa zawadi waliojifungua katika Hospitali ya Wilaya, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Mwaka mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVodacom Foundation yatoa msaada wa vifaa vya elimu Kisarawe
Akiongea wakati wa kukabidhi msaada wa vifaa hivyo kwa wanafunzi jana,Kaimu Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Clouds yatoa msaada hospitali Temeke
KAMPUNI ya Clouds Media Group imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo vitatumika kwa wajawazito na wagonjwa...
10 years ago
GPLGLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA
10 years ago
MichuziNHIF yatoa msaada wa mashuka Hospitali ya Vijibweni
11 years ago
MichuziNMB YATOA MSAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
11 years ago
Mwananchi29 Jan
LAPF yatoa msaada vifaa kwa hospitali
10 years ago
MichuziNMB yatoa Msaada kwa Hospitali ya Rufaa, Dodoma
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni magodoro 22 na mashuka 422 ambayo kwa maelezo ya mganga mkuu wa hospitali hiyo – Dr Ezekiel Mpuya vitasaidia sana kuweka mazingira rafiki kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini hapo hususani akina mama wajawazito...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Lake Oil yatoa msaada kwa hospitali tatu
KAMPUNI ya Lake Oil imetoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 11.3 katika hospitali tatu za halmashauri za manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Msaada huo kwa hospitali za Mwananyamala (Kinondoni), Amana (Ilala) na Temeke, unalenga kupunguza changamoto za utoaji huduma za afya katika hospitali za umma nchini.