Lake Oil yatoa msaada kwa hospitali tatu
KAMPUNI ya Lake Oil imetoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 11.3 katika hospitali tatu za halmashauri za manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Msaada huo kwa hospitali za Mwananyamala (Kinondoni), Amana (Ilala) na Temeke, unalenga kupunguza changamoto za utoaji huduma za afya katika hospitali za umma nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jan
LAPF yatoa msaada vifaa kwa hospitali
Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa, LAPF, umekabidhi misaada mbalimbali kwa Hospitali ya Hydom, mkoani Manyara.
10 years ago
MichuziNMB yatoa Msaada kwa Hospitali ya Rufaa, Dodoma
BENKI ya NMB, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma vyenye thamani ya shilingi milioni 10 ikiwa na lengo la kusaidia uboreshaji wa huduma katika hospitali hiyo kubwa kwa mikoa ya kanda ya kati – Singida na Dodoma.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni magodoro 22 na mashuka 422 ambayo kwa maelezo ya mganga mkuu wa hospitali hiyo – Dr Ezekiel Mpuya vitasaidia sana kuweka mazingira rafiki kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini hapo hususani akina mama wajawazito...
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni magodoro 22 na mashuka 422 ambayo kwa maelezo ya mganga mkuu wa hospitali hiyo – Dr Ezekiel Mpuya vitasaidia sana kuweka mazingira rafiki kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini hapo hususani akina mama wajawazito...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rW0Z6OUQnVk/Vd6w0s04X4I/AAAAAAAH0VM/O5PKr_lkkDo/s72-c/Untitled.png)
Jamani Foundation yatoa msaada wa madawati 150 kwa shule tatu za Temeke
![](http://1.bp.blogspot.com/-rW0Z6OUQnVk/Vd6w0s04X4I/AAAAAAAH0VM/O5PKr_lkkDo/s640/Untitled.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xv998xSCcLM/Uw5Z5fhtg6I/AAAAAAAFP4E/vrgpP5_CS0M/s72-c/unnamed+(36).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA, yatoa msaada kwa hospitali za amana na muhimbili·
Benki ya NMB imezindua tawi jipya barabara ya Mandela mkoani Dar es Salaam.Hili ni tawi la 20 kufunguliwa katika mkoa wa Dar es Salaaam, na hii inafanya NMB kuwa benki yenye matawi mengi zaidi Tanzania, ikiwa na matawi zaidi ya 500 yaliyosambaa nchi nzima.
Tawi hili la NMB Mandela Road, linatoa huduma mbali mbali za kibenki ikiwemo akaunti za akiba, mikopo , huduma za fedha za kigeni, kukusanya mapato na kulipia kwa niaba ya serikali na taasisi mbalimbali.
Tawi hili litakua wazi kila ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s72-c/5.jpg)
TRA yatoa msaada wa vifaa tiba kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja,Zanzibar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwuXFi2d3Xo/VGycyQ6tYfI/AAAAAAAGyPE/zHhEulVwbjY/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziCBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zLgY_Uq-Ajg/XsPNeXDkutI/AAAAAAALqxM/Y35RBqdzE24S0eX37-wvipDMXnP06hJ_ACLcBGAsYHQ/s72-c/cba2.jpg)
Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.
Benki ya Commercial Bank of Africa (CBA) Tanzania imetoa msaada wa matanki nane ya maji yasiyo na mkono kwa hospitali nne zilizochaguliwa jijini Dar es salaam kukabiliana na mahitaji yanayoongezeka ya kusafisha mikono ambayo ni hatua muhimu katika kupambana na COVID-19.
Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.
"Commercial...
Akikabidhi mchango huo Afisa Mtendaji Mkuu wa CBA, Gift Shoko amesema msaada huo ni sehemu ya hatua zilizochukuliwa na CBA kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na kusambaa kwa COVID-19 nchini Tanzania.
"Commercial...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4z3pbuzUQt0oHKfb0w1OmsfqNKYIVT6qtl4YifhLNGLZKqEZJ6380XNIdCKoCzy936ylWLayo-7PkhSAKgcCIcP/AMANA.jpg?width=650)
GLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA
Ofisa Masoko wa Global Publishers Ltd, Benjamin Mwanambuu (kushoto) akikabidhi hundi kwa Ofisa Usimamizi wa Ubora wa Hospitali ya Amana, Lucy Mbusi (kulia). Katikati anayeshuhudia ni Ofisa wa Teknolojia ya Habari  wa hospitali hiyo, Lucas Mjema. (Picha na Richard Bukos / GPL)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania