Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda mwaka 1994 juzi iliadhimisha miaka 20 tokea ianzishwe. Maadhimisho hayo yalihusisha maonyesho ya kazi zake pamoja na mikutano. Siku ya mwisho Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal alikuwa mgeni wa heshima. Mhakama hiyo inamaliza kazi zake mwakani. Chini hapo ni baadhi ya picha za shughuli hiyo. Mpiganaji Danford Mpumilwa, ambaye ni Afisa Habari wa Mahakama hiyo akisoma hotuba ya Wafanyakazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YTPB79eNT0/VBlsAAVgjdI/AAAAAAAGkDw/QxSzT-kFR1Q/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/32.jpg)
![5](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/52.jpg)
![6](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/61.jpg)
![7](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/72.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/41.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama ya mauaji ya kimbari Rwanda yafungwa
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kufanyika Oktoba viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa pamoja na kutolea ufafanuzi malengo 17 ya maendeleo endelevu (SDGs) yenye lengo la kufuta kabisa umaskini.(Picha zote ne Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s72-c/unnamed+(45).jpg)
MH. MWANDOSYA MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B3E-4EA36_U/U0TmMwWoPPI/AAAAAAAFZYc/EQ9p0S8eIWI/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Mh. Mwandosya aongoza maadhimisho ya 20 ya mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda jijini Dar
Maandamano yakiwa yameanza kuelekea ukumbi wa Mlimani City
Mmoja ya Waandamaji wa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya Rwanda ikiwa imetimia Miaka 20 akiwa amebeba Mwenge Maalum kwa ajili ya Maadhimisho.
Maandamano ya Kumbukumbu ya miaka 20 ya Mauaji ya Kimbari yaliyotokea mwaka 1994 yakiendelea kuelekea Ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya Maadhimisho hayo.
Baadhi ya Wanafunzi pamoja na watu wengine mbalimbali wakiwa wameshika mabango mbalimbali yanayo elezea siku ya kumbukumbu ya Mauaji...