Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ya Rombo na yatufumbue macho sote

Wenye kufuatilia taarifa za habari mbalimbali naamini wamesikia habari za wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro katika nchi yetu hii ya Tanzania. Tumepata taarifa ya kwamba huko unywaji wa pombe haramu ya gongo umekithiri na kwamba tayari idadi kubwa ya watu haswa wanaume wameathirika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mauaji hotelini Arusha yatufumbue macho

WIKI iliyopita jijini Arusha kulitokea mauaji ya aina yake ndani ya hoteli moja maarufu katikati ya jiji, ambapo mfanyabiashara mmoja kijana alichinjwa na kisha muuaji wake akaondoka na kichwa, viganja, sehemu za siri na matiti.

Mauaji hayo yaliyovuta hisia za wakazi wengi wa jiji hilo ni ya aina yake kuwahi kutokea ndani ya hoteli katika siku za hivi karibuni na yaliwatia hofu wakazi na pia wageni wa jiji hilo maarufu kwa biashara na utalii katika ukanda huu wa Afrika...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Utii wa sheria ni jukumu letu sote

Utii wa sheria ni jambo muhimu katika jamii. Sheria zimekuwapo tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

 

5 years ago

Mwananchi

Bomba la mafuta ni letu, tulilinde sote

Jana, Rais John Magufuli na mgeni wake, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni walizindua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga.

 

11 years ago

Michuzi

SOTE TUWAJIBIKE LINAPOKUJA SUALA LA UTAWALA BORA-TANZANIA

 Na Mwandishi Maalum, New YorkWakati mchakato wa maandalizi ya ajenda na malengo mapya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ukiendelea kushika kasi kwa mijadala mbalimbali inayoendelea hapa Umoja wa Mataifa. Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa upande wake imesisitiza kuwa pamoja na kukubaliana kwamba suala la utawala bora ni muhimu katika utekelezaji wa maendeleo na kupiga vita umaskini, hata hivyo eneo hilo halipashwi kuwa la upande mmoja.  “Hoja ya utawala bora ni...

 

10 years ago

GPL

NEMC YASEMA UTUNZAJI MAZINGIRA NI JUKUMU LETU SOTE‏

Mhandisi wa Mazingira wa Mamlaka ya udhibiti na usimamizi wa mazingira(NEMC)Arnold Kasilaga.akiongea na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wafanyakazi wa Mlimani City.Wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira duniani ambapo wafanyakazi hao walifanya kazi ya usafi kwa vitendo kuzunguka maeneo ya Mlimani city jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama wa Vodacom Tanzania Karen Lwakatare,akiongea jambo na baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

uwepo mfumo wa kutuwajibisha sote watoaji na wapokeaji wa misaada -TANZANIA

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Dorothy Mwanyika, akielezea uzoefu wa Tanzania katika eneo la Misaada Rasmi ya Maendeleo (ODA). Naibu Katibu Mkuu alikuwa mmoja wa wanajopo waliojadili mada kuhusu umuhimu wa ODA katika utekelezaji wa Malengo Maendeleo Endelevu baada ya 2015. Sehemu ya washiriki wa mkutano ambao ni sehemu na maandalizi ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu uwezeshwaji wa raslimali fedha kwa maendeleo endelevu baada ya 2015 mkutano unaotarajiwa kufanyika mapema...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuliimarisha Taifa ni jukumu letu sote, hofu hii inatoka wapi?

Wananchi wanazungumza, huu ni wakati wa kusikiliza na kutenda na si kupinga Kwanza nikiri kwamba mimi ni mtu mdogo sana, kwa rika, kwa maarifa, kwa uzoefu na ujuvi wa mambo, siko huko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani