Bomba la mafuta ni letu, tulilinde sote
Jana, Rais John Magufuli na mgeni wake, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni walizindua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Utii wa sheria ni jukumu letu sote
Utii wa sheria ni jambo muhimu katika jamii. Sheria zimekuwapo tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
10 years ago
GPL
NEMC YASEMA UTUNZAJI MAZINGIRA NI JUKUMU LETU SOTE
Mhandisi wa Mazingira wa Mamlaka ya udhibiti na usimamizi wa mazingira(NEMC)Arnold Kasilaga.akiongea na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wafanyakazi wa Mlimani City.Wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira duniani ambapo wafanyakazi hao walifanya kazi ya usafi kwa vitendo kuzunguka maeneo ya Mlimani city jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama wa Vodacom Tanzania Karen Lwakatare,akiongea jambo na baadhi ya...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Kuliimarisha Taifa ni jukumu letu sote, hofu hii inatoka wapi?
Wananchi wanazungumza, huu ni wakati wa kusikiliza na kutenda na si kupinga
Kwanza nikiri kwamba mimi ni mtu mdogo sana, kwa rika, kwa maarifa, kwa uzoefu na ujuvi wa mambo, siko huko.
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Ya Rombo na yatufumbue macho sote
Wenye kufuatilia taarifa za habari mbalimbali naamini wamesikia habari za wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro katika nchi yetu hii ya Tanzania. Tumepata taarifa ya kwamba huko unywaji wa pombe haramu ya gongo umekithiri na kwamba tayari idadi kubwa ya watu haswa wanaume wameathirika.
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
5 years ago
Michuzi
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.

Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.

Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.

Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
5 years ago
CCM Blog
11 years ago
Michuzi.jpg)
SOTE TUWAJIBIKE LINAPOKUJA SUALA LA UTAWALA BORA-TANZANIA
Na Mwandishi Maalum, New YorkWakati mchakato wa maandalizi ya ajenda na malengo mapya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ukiendelea kushika kasi kwa mijadala mbalimbali inayoendelea hapa Umoja wa Mataifa. Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa upande wake imesisitiza kuwa pamoja na kukubaliana kwamba suala la utawala bora ni muhimu katika utekelezaji wa maendeleo na kupiga vita umaskini, hata hivyo eneo hilo halipashwi kuwa la upande mmoja. “Hoja ya utawala bora ni...
10 years ago
Michuzi13 Nov
uwepo mfumo wa kutuwajibisha sote watoaji na wapokeaji wa misaada -TANZANIA
.jpg)
.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania