NEMC YASEMA UTUNZAJI MAZINGIRA NI JUKUMU LETU SOTE
![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMSQjiQnjkRz71a5of1neFVmuCx0-R8ZiRI66*pfiyg3uh1GrFAD7W9M*hWXt6BVqXLS3my*a6n4IHGPKN8jmS6d/001..jpg?width=650)
Mhandisi wa Mazingira wa Mamlaka ya udhibiti na usimamizi wa mazingira(NEMC)Arnold Kasilaga.akiongea na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wafanyakazi wa Mlimani City.Wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira duniani ambapo wafanyakazi hao walifanya kazi ya usafi kwa vitendo kuzunguka maeneo ya Mlimani city jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Afya na Usalama wa Vodacom Tanzania Karen Lwakatare,akiongea jambo na baadhi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Utii wa sheria ni jukumu letu sote
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Kuliimarisha Taifa ni jukumu letu sote, hofu hii inatoka wapi?
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Bomba la mafuta ni letu, tulilinde sote
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
11 years ago
Habarileo10 Dec
NEMC yasema maji ya Mto Ngerengere si salama
BARAZA la Taifa la Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira (NEMC) limesema vipimo vya maji machafu yanayotoka katika viwanda vilivyopo eneo la Kihonda Manispaa ya Morogoro na kuelekezwa Mto Ngerengere, yamekuwa na kemikali zenye sumu ambayo ni hatari kwa maisha ya viumbe hai wanaotumia maji hayo.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Serikali: Nemc simamieni mazingira ya viwandani
11 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
‘Taasisi shirikianeni na NEMC utoaji hati ya mazingira’
TAASISI na sekta zinazoshughulika na masuala ya hifadhi ya mazingira, zimeshauriwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), ili kuleta weledi wa utoaji hati ya...