VYUO VIKUU NCHINI KUNOANA KATIKA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU 2015 JIJINI ARUSHA
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya akizungumza na waandishi habari leo kuhusu kongamano la saba la elimu ya juu 2015 linalotarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia Oktoba 1-2, 2015. Pembeni ni Thea Mtau (kulia) na Cosmas Mwasoibya ambao ni wajumbe wa Kamati ya Maandalizi.
Waandsihi wakimsikiliza Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU), Profesa Yunus Mgaya katika mkutano na waandsihi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s72-c/IMG_2449.jpg)
KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s640/IMG_2449.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5GA5-mf_fTo/Vg1Lp6x64aI/AAAAAAABmeI/gjMrokJyOmk/s640/IMG_2425.jpg)
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA SABA LA ELIMU YA JUU LAENDELEA JIJINI ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OS-D6vUXkWw/U5cZ2Q1PT7I/AAAAAAAFph0/D59QcZhoPgY/s72-c/Pic+No+2.jpg)
MAADILI YAHIMIZWA NA KUTILIWA MKAZO KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI
Viongozi wakuu kutoka Chuo cha Biashara ‘CBE’ wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kusimamia uadilifu wa Chuo hicho ili kuhakikisha Taifa linapata wasomi waliojengeka vyema kielimu na kimaadili.
Rai hiyo imetolewa na Katibu Viongozi wa Umma, Ofisi ya Rais - Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Bw. Tixon Tuyangine Nzunda, wakati akitoa Mafunzo ya Maadili kwa Wakurugenzi Wakuu na Wakurugenzi Wasaidizi, kutoka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Matukio ya ziara ya kimasomo ya washindi wa shindano la CMSA kwa Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu
![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA) Nicodemus Mkama akizungumza na wanafunzi (hawapo pichani) wakati wa ziara ya mafunzo ya washindi wa shindano la vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019 linaloendeshwa na CMSA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-m6YCPYy7P_k/XoB8ZjmP-0I/AAAAAAALldU/OqhunhPDIlI0lHOfOGpdHQamiem4FX0-wCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Baadhi ya washindi wa Shindano linaloendeshwa na CMSA kwa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019.
![](https://1.bp.blogspot.com/-d3GEdkSFo_4/XoB8Z-CV9NI/AAAAAAALldY/WFtWfY0nVnUOW1IBz6-P4w756_ij-70xACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Watendaji wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa mamlaka hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kS85ARzrZvA/VbsHdDD8XRI/AAAAAAABj8s/XD6botONAgY/s72-c/posta%2Barusha.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Mfumo wa kukokotoa Ada za Vyuo Vikuu nchini kukamilika mwezi Aprili, 2015
![kilango](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/kilango.jpg)
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA
Serikali inaandaa Mfumo (Software) wa kukokotolea ada zinazotumika katika Vyuo Vikuu vyote nchini kutokana na tofauti za kiasi cha ada kinachotozwa na Vyuo Vikuu nchini, Mfumo huu unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Aprili, 2015.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango (pichani) wakati akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi , Mbunge wa Viti Maalum aliyetaka kujua iwapo mchanganuo wa ada za vyuo vya umma...
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...