PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi nhawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Afisa Uendeshaji wa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-2048x2023.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-2048x2023.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-2.jpg)
Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
9 years ago
MichuziVYUO VIKUU NCHINI KUNOANA KATIKA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU 2015 JIJINI ARUSHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Matukio ya ziara ya kimasomo ya washindi wa shindano la CMSA kwa Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu
![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA) Nicodemus Mkama akizungumza na wanafunzi (hawapo pichani) wakati wa ziara ya mafunzo ya washindi wa shindano la vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019 linaloendeshwa na CMSA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-m6YCPYy7P_k/XoB8ZjmP-0I/AAAAAAALldU/OqhunhPDIlI0lHOfOGpdHQamiem4FX0-wCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Baadhi ya washindi wa Shindano linaloendeshwa na CMSA kwa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019.
![](https://1.bp.blogspot.com/-d3GEdkSFo_4/XoB8Z-CV9NI/AAAAAAALldY/WFtWfY0nVnUOW1IBz6-P4w756_ij-70xACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Watendaji wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa mamlaka hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s72-c/mayunga.jpg)
BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XcePV_Yy6lE/Vf1AKL6rpBI/AAAAAAAAEw0/yzBk8qJSFxQ/s640/mayunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rnigzh6SSHM/Vf1AQbyI4QI/AAAAAAAAEw8/YKu2tZEAGRM/s640/eabc.jpg)
10 years ago
MichuziWATANZANIA WATAKIWA KUANGALIA UBORA WA ELIMU YA VYUO VIKUU VYA NJE NA SIO MAJIMA-MOLLEL
Hayo aliyasema jana,Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link,Abdulmaliki Mollel katika maonesho ya Elimu ya Vyuo Vikuu vya Ndani na Nnje ya nchi yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mollel amesema yeye akiwa wakala wa vyuo vikuu vya nje anatambua vyuo walivyoenda watanzania...
10 years ago
GPLMAGUFULI APONGEZWA NA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
JK afungua Mkutano wa Shirikisho la Vyuo vya elimu ya Juu Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOv0Ul8noCE/VWOTr3EZV9I/AAAAAAAHZxs/n5w86wlGkpY/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)