KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s72-c/IMG_2449.jpg)
Afisa Masoko wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) wa Tawi la Arusha, Regina Lema akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika maonyesho yaliyoandaliwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu nchini, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) pamoja na Kamati ya Wakuu wa vyuo Vikuu nchini (CVCPT) yanayofanyika jijini Arusha sambamba na kongamano la saba la elimu ya juu lililoanza leo Oktoba 1 -2, 2015.
Chuo Kikuu cha Muhimbili cha jijini Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA SABA LA ELIMU YA JUU LAENDELEA JIJINI ARUSHA
9 years ago
MichuziVYUO VIKUU NCHINI KUNOANA KATIKA KONGAMANO LA ELIMU YA JUU 2015 JIJINI ARUSHA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wrWR7AiT9hU/VdHN4Nup9rI/AAAAAAAAEnY/t5tuBSy-ip8/s72-c/A.jpg)
KONGAMANO LA KWANZA LA SERIKALI MTANDAO LAFUNGULIWA ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrWR7AiT9hU/VdHN4Nup9rI/AAAAAAAAEnY/t5tuBSy-ip8/s640/A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I-HfgHN6Ies/VdHN9-hkRoI/AAAAAAAAEng/c3M5zbt6xp8/s640/B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9DXIpCW828/VdHODlcK7_I/AAAAAAAAEno/0S6oHbDcprM/s640/C.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FM8dOoJaGtM/VdHa11_eA_I/AAAAAAAAEok/z7C85--ysnY/s640/F.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--h6qyugTMdw/VdHOOoU4lGI/AAAAAAAAEn4/ulpxG0Bywuw/s640/E.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ATpc4gM9bv0/U7_ytuPxMFI/AAAAAAAF1H8/h7n2mPrDn9E/s72-c/28.jpg)
KONGAMANO LA NNE LA MAKATIBU MUHTASI TANZANIA (TAPSEA) LAFUNGULIWA LEO JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ATpc4gM9bv0/U7_ytuPxMFI/AAAAAAAF1H8/h7n2mPrDn9E/s1600/28.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tmcTBRImdNA/U7_8tevz5eI/AAAAAAAF1Mc/mlmMbd4ly-c/s1600/_7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDK2y1QJLrY/U7_zvJsZhFI/AAAAAAAF1KU/NP2gqhMyGX4/s1600/_2.jpg)
Mgeni Rasmi katika Kongamano la Makatibu Muhtasi Tanzania na Mshauri wa Mambo ya...
11 years ago
Michuzikongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
kongamano la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli lafunguliwa leo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cpxI0EdzyO8/VACEZC56yGI/AAAAAAAGT5U/UJOVqJPwSEU/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
 Duka la dawa lafunguliwa jijini Arusha ili kusogeza huduma karibu na wananchi
Bohari kuu ya dawa imefungua duka la dawa jijini Arusha litakalohudumia mikoa ya kanda ya kaskazini.
Kuanzishwa kwa duka hilo ni utekelezaji wa agizo la rais lililowataka watendaji waliopo katika sekta ya afya kusogeza huduma ya upatikanaji wa dawa jirani na wananchi.
Akizungumza katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru mahali lilipo duka hili Meneja wa bohari kuu ya dawa kanda ya kaskazini Selestine Haule amesema kuanzishwa kwa duka hili kutarahisisha upatikanaji wa dawa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QbpbAbCuDkk/UvYOmb3IKGI/AAAAAAAFLu4/AS8cS2ki_do/s72-c/unnamed+(64).jpg)
KONGAMANO LA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MKOANI MBEYA KUELEKEA MIAKA HAMNASINI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QbpbAbCuDkk/UvYOmb3IKGI/AAAAAAAFLu4/AS8cS2ki_do/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PqjicwooxgQ/UvYOnGL8STI/AAAAAAAFLvE/PereR1B2bJE/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t0pId5oqG8I/UvYOnDFiIWI/AAAAAAAFLu8/XxiwyKJ3hms/s1600/unnamed+(66).jpg)