KONGAMANO LA KWANZA LA SERIKALI MTANDAO LAFUNGULIWA ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrWR7AiT9hU/VdHN4Nup9rI/AAAAAAAAEnY/t5tuBSy-ip8/s72-c/A.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma,Bw.Hab Mkwizu akifungua Kongamano la kwanza la Serikali Mtandao jijini Arusha leo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha(RAS)Addoh Mapunda akizungumza kwenye ufunguzi mapema leo.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Serikali Mtandao,Dk Jabiri Bakari akizungumza kwenye kongamano la siku tatu jijini Arusha ambalo limewakusanya maafisa zaidi ya 600 kujadili mikakati ya kuongeza matumizi ya mtandao katika shughuli za kila siku.
Wajumbe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s72-c/IMG_2449.jpg)
KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL6fkV1ya_s/Vg1MM2Sdi3I/AAAAAAABmew/uc6lP-DfVvI/s640/IMG_2449.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5GA5-mf_fTo/Vg1Lp6x64aI/AAAAAAABmeI/gjMrokJyOmk/s640/IMG_2425.jpg)
11 years ago
MichuziKONGAMANO LA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA LAFUNGULIWA RASMI LEO
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Kongamano la kujadili jamii za kiasili (indigenous people) lafunguliwa Dar
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akitoa hotuba yake wakati akifungua kongamano la siku mbili la bara la Afrika la kujadili masuala ya jamii za kiasili (indigenous people) lililofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Kongamano hilo linajadili changamoto zinazowakabili watu wa jamii za asili na namna ya kuboresha maisha ya jamii hizo bila kupoteza uasilia wao huku mada kuu ikiwa ni suala la...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBxuyTutHqc/U3NQFhnFIdI/AAAAAAAFhiE/-5ICh4ENKxc/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1TDmwrBqP4Y/U3NQGXcNK9I/AAAAAAAFhiI/oCQXDjKkrck/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xIzjYnfUA08/U3NQGZl80OI/AAAAAAAFhiM/l-0uUoyQ1BY/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ATpc4gM9bv0/U7_ytuPxMFI/AAAAAAAF1H8/h7n2mPrDn9E/s72-c/28.jpg)
KONGAMANO LA NNE LA MAKATIBU MUHTASI TANZANIA (TAPSEA) LAFUNGULIWA LEO JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ATpc4gM9bv0/U7_ytuPxMFI/AAAAAAAF1H8/h7n2mPrDn9E/s1600/28.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tmcTBRImdNA/U7_8tevz5eI/AAAAAAAF1Mc/mlmMbd4ly-c/s1600/_7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDK2y1QJLrY/U7_zvJsZhFI/AAAAAAAF1KU/NP2gqhMyGX4/s1600/_2.jpg)
Mgeni Rasmi katika Kongamano la Makatibu Muhtasi Tanzania na Mshauri wa Mambo ya...
11 years ago
Michuzikongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgazVaIOMs/Vc3HIow0gMI/AAAAAAAC9pM/0H877TOC5Ug/s72-c/unnamed.jpg)
Mkutano wa Masuala ya Serikali Mtandao kufanyika jijini Arusha Agosti 17
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgazVaIOMs/Vc3HIow0gMI/AAAAAAAC9pM/0H877TOC5Ug/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
kongamano la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli lafunguliwa leo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cpxI0EdzyO8/VACEZC56yGI/AAAAAAAGT5U/UJOVqJPwSEU/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
 Duka la dawa lafunguliwa jijini Arusha ili kusogeza huduma karibu na wananchi
Bohari kuu ya dawa imefungua duka la dawa jijini Arusha litakalohudumia mikoa ya kanda ya kaskazini.
Kuanzishwa kwa duka hilo ni utekelezaji wa agizo la rais lililowataka watendaji waliopo katika sekta ya afya kusogeza huduma ya upatikanaji wa dawa jirani na wananchi.
Akizungumza katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru mahali lilipo duka hili Meneja wa bohari kuu ya dawa kanda ya kaskazini Selestine Haule amesema kuanzishwa kwa duka hili kutarahisisha upatikanaji wa dawa...