Kongamano la kujadili jamii za kiasili (indigenous people) lafunguliwa Dar
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akitoa hotuba yake wakati akifungua kongamano la siku mbili la bara la Afrika la kujadili masuala ya jamii za kiasili (indigenous people) lililofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Kongamano hilo linajadili changamoto zinazowakabili watu wa jamii za asili na namna ya kuboresha maisha ya jamii hizo bila kupoteza uasilia wao huku mada kuu ikiwa ni suala la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzikongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar
11 years ago
Michuzi.jpg)
kongamano la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli lafunguliwa leo jijini Dar
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
KONGAMANO LA ELIMU YA JUU LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA


10 years ago
Michuzi
KONGAMANO LA KWANZA LA SERIKALI MTANDAO LAFUNGULIWA ARUSHA





11 years ago
MichuziKONGAMANO LA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA LAFUNGULIWA RASMI LEO
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 27 Julai 2014 siku ya Jumapili kuanzia saa 8 mchana ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Star TV
Mada kuu ya kongamano hilo ni, “Tujadili na Kutafakari Mchakato wa Katiba Mpya kwa Manufaa ya Taifa Letu”.
Watoa Mada katika...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KONGAMANO LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA NCHI CHANGA ZA AFRIKA LAFUNGULIWA, MWANZA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
KONGAMANO LA NNE LA MAKATIBU MUHTASI TANZANIA (TAPSEA) LAFUNGULIWA LEO JIJINI MWANZA



Mgeni Rasmi katika Kongamano la Makatibu Muhtasi Tanzania na Mshauri wa Mambo ya...
10 years ago
MichuziDUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR