Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR

 Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige  akikata utepe katika ufunguzi wa ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi lililofunguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015 . kulia ni Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George. 
   Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George  akitoa ufafanuzi kwa Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige kuhusu bidhaa zilizopo kwenye duka la ZuRii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Karibu ZuRii House of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi @Dar Free Market

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

untitled3

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi.

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

*Kufunguliwa rasmi Januari 12, 2015

DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.

Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri...

 

10 years ago

Michuzi

KARIBU ZuRii House of Beauty Dar Free Market complex 1st Floor Shop No F4.


Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015. Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. 
Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina.  Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Catherine Magige azindua duka jipya la urembo la ZuRii lililopo Dar Free Market

DSC_0312

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige (kushoto) akiwasili kuzindua rasmi duka la urembo la ZuRii House of Beauty linalomilikiwa na mwana Diaspora ambaye pia ni mwanalibeneke Jestina George Meru (kulia) ndani ya jengo la Dar Free Market jijini Dar es Salaam jana.

Na Mwandishi  Wetu

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige leo amezindua rasmi  rasmi duka  jipya la vipodozi na vitu mbalimbali linalofahamika kwa jina la ZuRii lililopo katika jengo la...

 

10 years ago

Vijimambo

ZuRii House Of Beauty Kufunguliwa Rasmi 12 Januari 2015

Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015.

Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.

Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.

Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina. Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na...

 

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND WATEMBELEA ZURII HOUSE OF BEAUTY NA KUKABIDHIWA TICKET ZAO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA LONDON

 Kutoka kushoto Enock, Maromboso, Beka na Aslay wakiwa wameshikilia ticket zao za ndege  ambazo walikabidhiwa rasmi na mkurugenzi wa Zurii house of Beauty Jestina George Meru.Yamoto Band wanatarijiwa kufanya Live show kwenye jiji London siku ya tarehe 21.02.2015 katika ukumbi wa Royal Regency Banguet Hall 
 Zuri House of Beauty CEO Jestina George Meru akiwa kwenye picha ya pamoja na timu nzima ya Yamoto Band Kama kawaida Ukitembelea Zurii House of Beauty huondoki mkono mtupuUK na Europe yote...

 

10 years ago

Michuzi

WEAR SWAHILI BY MIRIAM IKOA @ DAR FREE MARKET 1ST FLOOR DAR ES SALAAM

Anasema Mariam Ikoa, mwanamitindo nguli wa Tanzania akiwa n mrembo Lisa Jensen. Anasema: "Najivunia u-Afrika. Vazi kujivika. Stara. Heshima, Hifadhi. Uzuri. Anapatikana katika duka lake namba 5 katika jengo la Dar Free Market barabar ya Ali Hassan Mwinyi jirani na ofisi za DSTV jijini Dar es es alaam. Ama katika insta@mariam.ikoa
For more CLICK HERE

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe(katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha kutengeneza Bakuli na Vikombe vitakavyokuwa vinatumika na Wafungwa Magerezani kulia chakula(wa kwanza kulia) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe(kushoto) akiwaonesha Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Dar es Salaam jiwe la msingi la Jengo la Magereza Duty Free Shop iliyopo Gereza...

 

11 years ago

Michuzi

kongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar

Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo, Utafiti na Ubadilishanaji Maarifa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Florence Luoga (aliyesimama) akiongea wakati wa kufungua kongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maneneo ya ardhioevu na yale ambayo mito inakutana na bahari lililofanyika jana Jumanne jijini Dar es Salaam. Wengine ni waratibu wa kongamano hilo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Uthamini Raslimali (IRA) ya UDSM, Prof. Amos Majule (kushoto); Dk. Catherine Masao (wa pili kulia)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani