DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR
Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige akikata utepe katika ufunguzi wa ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi lililofunguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015 . kulia ni Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George.
Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George akitoa ufafanuzi kwa Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige kuhusu bidhaa zilizopo kwenye duka la ZuRii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jan
Karibu ZuRii House of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi @Dar Free Market
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled2.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled4.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi.
![Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/untitled.jpg)
Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi
*Kufunguliwa rasmi Januari 12, 2015
DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri...
10 years ago
Michuzi10 Jan
KARIBU ZuRii House of Beauty Dar Free Market complex 1st Floor Shop No F4.
Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015. Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.
Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina. Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Mh. Catherine Magige azindua duka jipya la urembo la ZuRii lililopo Dar Free Market
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige (kushoto) akiwasili kuzindua rasmi duka la urembo la ZuRii House of Beauty linalomilikiwa na mwana Diaspora ambaye pia ni mwanalibeneke Jestina George Meru (kulia) ndani ya jengo la Dar Free Market jijini Dar es Salaam jana.
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige leo amezindua rasmi rasmi duka jipya la vipodozi na vitu mbalimbali linalofahamika kwa jina la ZuRii lililopo katika jengo la...
10 years ago
VijimamboZuRii House Of Beauty Kufunguliwa Rasmi 12 Januari 2015
Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.
Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina. Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eMFQ2p1Xm5A/VNgd1TievOI/AAAAAAAC_YM/ByfRWP8CdYA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.13.png)
YAMOTO BAND WATEMBELEA ZURII HOUSE OF BEAUTY NA KUKABIDHIWA TICKET ZAO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA LONDON
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMFQ2p1Xm5A/VNgd1TievOI/AAAAAAAC_YM/ByfRWP8CdYA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.13.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jhrAYOtREE/VNgd1SjCpbI/AAAAAAAC_YQ/zBwy-dq4IAc/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.36.33.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DV_v4WL2a8I/VNgd1WnoVVI/AAAAAAAC_YI/FHchOgt4MT0/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.13.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AXWoZJd9sEs/VNgmItamckI/AAAAAAAC_Yw/I3_NJF0OPZQ/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.51.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l0PaIqI8f9g/VNgd3LmWXZI/AAAAAAAC_YY/tqCv5qSKU94/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-09%2Bat%2B02.37.30.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ns5RYeQUNY8/VVJr8H8suaI/AAAAAAAHW8M/f7VbSdG4oMU/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
WEAR SWAHILI BY MIRIAM IKOA @ DAR FREE MARKET 1ST FLOOR DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ns5RYeQUNY8/VVJr8H8suaI/AAAAAAAHW8M/f7VbSdG4oMU/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SEE1VwPrkvk/VVJr8DGzfaI/AAAAAAAHW8I/eJ8KSoVMWok/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
For more CLICK HERE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
11 years ago
Michuzikongamano la kimataifa la wanasayansi kujadili maeneo ya ardhioevu na yale lafunguliwa jijini Dar