Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZuRii House Of Beauty Kufunguliwa Rasmi 12 Januari 2015

Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015.

Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.

Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.

Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina. Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR

 Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige  akikata utepe katika ufunguzi wa ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi lililofunguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015 . kulia ni Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George. 
   Mkurugenzi wa ZuRii Fashion & Beauty Boutique, Jestina George  akitoa ufafanuzi kwa Mgeni rasmi Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige kuhusu bidhaa zilizopo kwenye duka la ZuRii...

 

10 years ago

Michuzi

KARIBU ZuRii House of Beauty Dar Free Market complex 1st Floor Shop No F4.


Karibu ZuRii House of Beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi litakalo funguliwa rasmi Jumatatu 12 Jan 2015. Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. 
Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina.  Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK...

 

10 years ago

Dewji Blog

Karibu ZuRii House of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi @Dar Free Market

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

untitled3

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi.

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

Karibu ZuRii House of Beauty Duka Jipya na la Kisasa la Vipodozi

*Kufunguliwa rasmi Januari 12, 2015

DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.

Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri...

 

10 years ago

Vijimambo

YAMOTO BAND WATEMBELEA ZURII HOUSE OF BEAUTY NA KUKABIDHIWA TICKET ZAO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA LONDON

 Kutoka kushoto Enock, Maromboso, Beka na Aslay wakiwa wameshikilia ticket zao za ndege  ambazo walikabidhiwa rasmi na mkurugenzi wa Zurii house of Beauty Jestina George Meru.Yamoto Band wanatarijiwa kufanya Live show kwenye jiji London siku ya tarehe 21.02.2015 katika ukumbi wa Royal Regency Banguet Hall 
 Zuri House of Beauty CEO Jestina George Meru akiwa kwenye picha ya pamoja na timu nzima ya Yamoto Band Kama kawaida Ukitembelea Zurii House of Beauty huondoki mkono mtupuUK na Europe yote...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya Jua Kali kufunguliwa rasmi Jumatano

picha 1

Mwenyekiti wa Shirikisho la wajasiriamali Afika Mashariki Bw. Josephat Rweyemamu (Katikati) akiangalia bidhaa zinazotokana na karanga  kutoka kwa wajasirialiamali katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam  kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Ajira kutoka Wizara ya Kazi Ajira na Bw. Ali Msaki.

picha 2

Baadhi ya bidhaa zinazopatika katika maonesho ya Jua Kali yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.

picha 3

Baadhi ya wajasiriamali  kutoka nchi wanachama wa jumuia ya Afrika...

 

11 years ago

GPL

KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI RASMI JANUARI 2

KLABU ya Kagera Sugar inaingia kambini desemba 31 mwaka huu, lakini mazoezi yataanza rasmi januari pili mwakani kujiwinda na mzunguko wa pili  ligi kuu soka Tanzania bara unaotarajia kuanza kushika kasi januari 25, 2014. Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage Kabange ameuambia mtandao huu kuwa nia yao ni kurejesha makali yao kama msimu uliopita. “Mipango ya kambi imekamilika, mimi na kocha mkuu Jackson Mayanja tunajiandaa...

 

10 years ago

GPL

MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015

Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Kutengeneza shepu (hips na…

 

10 years ago

Michuzi

SOKO LA MWANJELWA JIJINI MBEYA LATARAJIWA KUFUNGULIWA MEI 2015

Mkandarasi wa soko kuu la Mwanjelwa linaloendelea kujengwa jijini mbeya ndugu,Balwinder Singh kutoka katika kampuni ya (NECCO) amezungumza na Ripota wetu juu ya maendeleo ya soko hilo kubwa lenye zaidi ya maduka 400 ya biashara ndogondogo,Benki mbili na kituo kikubwa cha polisi ambapo amesema soko hilo anatarajia kulikabidhii mwakani (2015) mwezi wa tano.
Akiendelea kuzumza,Mkandarasi huyo amesema kuwa hali ya Ujenzi inaendelea vyema na wapo kwenye hatua za mwisho,hivyo hadi mwezi...

 

10 years ago

GPL

REST IN PEACE JANUARI 2015

Shikamoo Januari, kwa heri Januari, tangulia Januari. Nakumbuka sana siku ulipoingia, tulikuwa nje tunakusubiri kwa hamu, na ulipofika tukaripuka kwa furaha kubwa, tukapiga miluzi, madebe, na kukumbatiana, bila kujali umemkumbatia nani, mimi mwenyewe kwa mara ya kwanza nilimkumbatia mama mwenye nyumba wangu na tukapeana pongeza kubwa, na kutakiana heri ya mwaka mpya wenye furaha. Nilimkumbatia jirani yangu, baadaye nikamkumbatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani