REST IN PEACE JANUARI 2015
![](http://api.ning.com/files/1zruj0PgXfg9A2V3CPmah*vw4DTmMldfCx9lwx84w5Q8Ydt-oQ0nvDCVKQfGaARA1BeerJbF1iH31foXeYU4Fp7bmhHkdqeQ/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
Shikamoo Januari, kwa heri Januari, tangulia Januari. Nakumbuka sana siku ulipoingia, tulikuwa nje tunakusubiri kwa hamu, na ulipofika tukaripuka kwa furaha kubwa, tukapiga miluzi, madebe, na kukumbatiana, bila kujali umemkumbatia nani, mimi mwenyewe kwa mara ya kwanza nilimkumbatia mama mwenye nyumba wangu na tukapeana pongeza kubwa, na kutakiana heri ya mwaka mpya wenye furaha. Nilimkumbatia jirani yangu, baadaye nikamkumbatia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Sijui niseme ‘rest in peace’ Taifa Cup
10 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
Michuzi05 Dec
Mahafali DIT kufanyika Januari 2015
Taarifa ya DIT kwa vyombo vya habari imesema kuwa tuzo kwa wanafunzi zitatolewa Januari 23 mwaka huu ikiwa ni wiki moja kabla ya mahafali hayo ambayo wahitimu katika ngazi na masomo tofauti watatunukiwa. Wahitimu watakaotunukiwa ni siku hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Sijui kama Wanakumbuka,leo ni januari 26,2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnXaNFbfM9JiPq8E6ZcrhtTwTjVNhgBC*90TTS*hg*a2BGTYCJcP8b*50Bsr5OQTxEnkirGEfjKUGW7waAyQ69Sx/IMG_8980.jpg)
URAIS 2015: JANUARI VS MWIGULU NGOMA NZITO!
10 years ago
VijimamboZuRii House Of Beauty Kufunguliwa Rasmi 12 Januari 2015
Duka lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4.
Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina. Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h1Z7J1ahcO0/VLAmG7qihJI/AAAAAAAG8TY/IrCClciv93U/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)