Mahafali DIT kufanyika Januari 2015
Mahafali ya nane ya Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), yanatarajiwa kufanyika Januari 31 mwaka huu katika viwanja vya chuo hicho na yatatanguliwa na utoaji wa tuzo na zawadi mbalimbali kwa wahitimu ambao wamefanya vizuri katika masomo yao.
Taarifa ya DIT kwa vyombo vya habari imesema kuwa tuzo kwa wanafunzi zitatolewa Januari 23 mwaka huu ikiwa ni wiki moja kabla ya mahafali hayo ambayo wahitimu katika ngazi na masomo tofauti watatunukiwa. Wahitimu watakaotunukiwa ni siku hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cUqRr7dRWQg/VIKyyPneBZI/AAAAAAAG1kY/Ewimg0GJzBI/s72-c/banner.png)
Mahafali ya nane ya Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kufanyika Januari 31, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-cUqRr7dRWQg/VIKyyPneBZI/AAAAAAAG1kY/Ewimg0GJzBI/s1600/banner.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vHKTwxLSiRQ/VmSc6stIlHI/AAAAAAAIKho/ohorXGvwGzE/s72-c/s.png)
MAHAFALI YA TISA YA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM (DIT)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vHKTwxLSiRQ/VmSc6stIlHI/AAAAAAAIKho/ohorXGvwGzE/s320/s.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s1600/membe%2Bvn.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mkutano wa kukuza biashara na ushirikiano kwa sekta za umeme za Afrika kufanyika mjini Washington DC Januari mwakani
-Umeme Afrika: Mkutano Utafanyika Katika Mji wa Washington DC, Tarehe 28-30 Januari 2015,
-Ahadi Kutoka Nchi 12 za Afrika Kukuza Ushiriki wa Sekta ya Kibinafsi Katika Sekta ya Umeme ya Afrika
Kwa miaka 20 iliyopita EnergyNet imepanga mikutano ya wawekezaji na baadhi ya wakuzaji wa umeme wa kuaminika na mashuhuri wanaoendesha biashara barani Afrika. Symbion Power, GE, Siemens, Copperbelt, Goldwind, Azura Power, Aldwych, Karpowership, Globeleq, Schneider Electric, ESBi, Transcorp, Chint,...
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mahafali ya Kidato cha nne shule ya sekondari WAMA-NAKAYAMA kufanyika jumapili hii
TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PLxQPuARkGbDU57wOjqBY5cgeYsUKeP8H7YB8qzsLscqCAe7wDlOcrBd1Avyl-dKSB4a2O3Fi36J*zZ3vpUbwET/DIT_LOGO.jpg)
DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT): APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO ORDINARY DIPLOMA PROGRAMMES FOR 2015/2016
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/1zruj0PgXfg9A2V3CPmah*vw4DTmMldfCx9lwx84w5Q8Ydt-oQ0nvDCVKQfGaARA1BeerJbF1iH31foXeYU4Fp7bmhHkdqeQ/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
REST IN PEACE JANUARI 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s72-c/aa.png)
KANDANDA DAY 2015 KUFANYIKA OKTOBA 17, 2015 TCC CLUB CHANG'OMBE, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s640/aa.png)
mwaka huu,Chang’ombe, Dar es Salaam.
Katika tamasha la mwaka huu,mbali na kuwepo kwa mechi kati ya Timu DizoMoja na Timu Ismail, lakini pia kutakuwa na matukio mbalimbali ya kimichezo na kijamii
yatakayoendelea. Mratibu wa tamasha hilo Patrick Dumulinyi,alitanabaisha kuwa siku hiyo, kutakuwepo na mchezo wa utangulizi ambao utahusisha kituo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)