Mkutano wa Masuala ya Serikali Mtandao kufanyika jijini Arusha Agosti 17
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMgazVaIOMs/Vc3HIow0gMI/AAAAAAAC9pM/0H877TOC5Ug/s72-c/unnamed.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari leo katika ukumbi wa Habari (MAELEZO) kuhusu mkutano wa Serikali Mtandao utakaowakutanisha Watendaji Wakuu na Maofisa wa Ngazi na Fani Mbalimbali kutoka Serikalini utakaofanyika jijini Arusha Agosti 17-20,2015.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUTANO WA TATU WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATAALAMU WA MASUALA YA CHAKULA NA LISHE AFRIKA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
MAKAMU WA RAID DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA UNAOJADILI MASUALA YA AMANI BARANI AFRIKA, LEO JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hJYXvI0Tzqk/VEaZImNqQ_I/AAAAAAAGshM/G2NioOhFrrM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AXTknJIJmEs/VEaZJL6fKVI/AAAAAAAGshY/6kdeBCe_DkI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
10 years ago
Michuzi26 Jun
MKUTANO MKUBWA WA AMANI NA UPENDO KUFANYIKA LEO JIJINI ARUSHA
![SAM_3390](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NkTjsBxT8jET8BwqGmXPRPSN59C6Pm7nqbUHMyw8NqWLfmD8CsnfNV-yKkfzjdzsw8eSnFFUvaxo7rDbo3g-j7w3M3VVaN_UV2o35GskGOXvJ54=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3390.jpg)
![SAM_3402](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/DQUdPVNiIUOO2KizcUVf7ElPfovBg8YGjZgySN7akwtv0dQyd5KyhDBbnaThRIS4GErLuv6-3kElkiiOPjlabgl2TjfvhdX6ypUpOKC3s3jPvSo=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3402.jpg)
![SAM_3404](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/t2N1Fk3Ycxh0U8EeryNK4VoeGyrn1odJAxFGWIP4yIs-CCNBjnz4jXGe8rvX2zo3EGDmfOPoCFLWasGyO9mMbV24bLYLYvTFBr-qenhJpiBprQc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3404.jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA WA TAASISI YA USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI TANZANIA (CILT) KUFANYIKA MACHI, 3 JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmreeHVc4GYo*rdwnzWukTZonzpQAEVfAzjf7zuvN6uEp1pG6z9Ug5QbyXZA1j5BjxQM03jLceoTMTDlYReyjuYu/1.jpg?width=650)
MKUTANO BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KUFANYIKA DAR AGOSTI 27
11 years ago
Michuzi12 Aug
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA KUFANYIKA AGOSTI 30, 2014.
![](https://2.bp.blogspot.com/-Fquj7L3s4Xc/U-i_AC-3awI/AAAAAAAC6OM/noGwqWFXCuQ/s1600/ccmuk.jpg)
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mkutano mkuu wa 31, tuzo za viongozi wa serikali za mitaa (Mayors Award) na miaka 30 ya ALAT kufanyika aprili 8-11, 2015 jijini Dar
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa ALAT utakaokwenda sambamba na Tuzo za Viongozi wa Serikali za Mitaa ‘Mayors Award’ na Miaka 30 ya ALAT, utakaofanyika katika hoteli ya Kunduchi jijijni Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo na (kulia) ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB ambao ndio...
9 years ago
MichuziMTANDAO WA WAANDISHI WA MASUALA YA HAKI YA AFYA YA UZAZI NA JINSIA WAZINDULIWA JIJINI DAR
Mratibu wa Uzazi Salama Kitaifa, Dk. Koheleth Winani akizungumza na waandishi wa habari za masuala ya haki jinsia na uzazi katika mkutano uliofanyika leo katika hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mwenyekiti wa Mtandao wa waandishi wa habari wa Haki na Afya ya Jinsia na Uzazi TAMENET–SRHR nchini,Siyovelwa Hussein akizungumza na waandishi wa habari wa wa Haki na Afya ya Jinsia na Uzazi TAMENET–SRHR leo jijini Dar es Salaam.