MKUTANO BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KUFANYIKA DAR AGOSTI 27
![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmreeHVc4GYo*rdwnzWukTZonzpQAEVfAzjf7zuvN6uEp1pG6z9Ug5QbyXZA1j5BjxQM03jLceoTMTDlYReyjuYu/1.jpg?width=650)
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Margaret Zziwa, akisisitiza jambo kwa wajumbe. Mbuge Shyrose akijibu swali la mwandishi (hayupo pichani) Nyuma yake ni Mbuge Twaha Taslima.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tamko la wabunge Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki EALA — TZ
Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Adam Kimbisa akitoa tamko la wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu sakata la kumvua madaraka spika wa bunge hilo wakati wa Mkutano uliofanyika katikamukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO).Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Assah Mwambene.
Katibu wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Shy-rose Bhanji akieleza...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qW5LYiNdPpQ/VlGwfYcbEkI/AAAAAAAIHv8/DbD9QmkhLbU/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MKUTANO WA WANASHERIA MAWAKILI AFRIKA MASHARIKI KUFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Shy-rose(3).jpg)
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s72-c/2.jpg)
BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUFANYA KIKAO CHAKE CHA BUNGE KARIMJEE JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X_pbAy1oc44/U_swgUpZKdI/AAAAAAAAWPI/QUGMCQCxhGo/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Bunge la Afrika Mashariki kufanya kikao chake cha Bunge Karimjee Dar, JK kuufungua rasmi kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s1600/2.jpg)
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam juu ya mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu ulioanza jana katika ukumbi wa Karimjee na kufunguliwa rasmi na Rais Jakaya Kikwete kesho.
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mOLbtedQXFU/U8zdDT4GhyI/AAAAAAAF4To/b0gi-J_HTnU/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Miss Kanda Mashariki kufanyika Agosti 8 Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOLbtedQXFU/U8zdDT4GhyI/AAAAAAAF4To/b0gi-J_HTnU/s1600/unnamed+(34).jpg)
Mashindano ya kumsaka mrembo kanda ya Mashariki ( Redds Miss Eastern Zone 2014) yatafanyika siku ya sikukuu ya Nanenane kwanue ukumbi wa Nashera Hotel, mkoani Morogoro.
Mashindano hayo yatashirikisha jumla ya warembo 14 kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Lindi, Mtwara na mwenyeji, Mkoa wa Morogoro chini ya udhamini wa Redds Original, Zanzi Cream Liquer, Pepsi, Usambara Safari Lodge, Kitwe General Traders, Starwing Lodge,...
10 years ago
MichuziMKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA AFRIKA MASHARIKI WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM