BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUFANYA KIKAO CHAKE CHA BUNGE KARIMJEE JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s72-c/2.jpg)
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam leo juu ya mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu unaotaraji kuanza leo katika ukumbi wa Karimjee na kufunguliwa na Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa.
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Bunge la Afrika Mashariki kufanya kikao chake cha Bunge Karimjee Dar, JK kuufungua rasmi kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPaEKjtZcnk/U_skgxBVWdI/AAAAAAAAWO4/Fm39Kj66Jvs/s1600/2.jpg)
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dar es Salaam juu ya mkutano wa kwanza wa Bunge la tatu ulioanza jana katika ukumbi wa Karimjee na kufunguliwa rasmi na Rais Jakaya Kikwete kesho.
Spika wa Bunge la Jumuia ya Afrika Mashariki (EALA) Dk. Margaret Nantongo Zziwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za Bunge la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8n7LJ2oJWQ/U_4QndYeX2I/AAAAAAAGCvE/MThK6CdG7so/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki limefunguliwa leo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-b8n7LJ2oJWQ/U_4QndYeX2I/AAAAAAAGCvE/MThK6CdG7so/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bB0aWq8oLE4/U_4QnpqlYdI/AAAAAAAGCvI/0czbmjwfYlI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p3ufL-F-zEo/U_4QnwBSQDI/AAAAAAAGCvM/KtH8RYYkrnY/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mFjskapruBA/VAnM1M8dsZI/AAAAAAAGfBo/KlS2VzKbgqg/s72-c/unnamed%2B(94).jpg)
Vikavo vya Bunge la Afrika Mashariki vyaahirishwa kabla ya jijini dar
Sheria Inataka Ili Kikao Kiendelee Lazima Bungeni Kuwe Na Nusu Ya Wabunge Wa Kuchaguliwa Na Angalau Wabunge Watatu Kutoka Kila Nchi Mwananchama.
Kikao Kiliahirishwa Baada Ya Rwanda Kuwa Na Mbunge Mmoja Na Burundi Wawili. Hii Ilikua Mara Ya Pili Baada Bunge Hilo Kuahirishwa...
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki limefunguliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda akihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) la kwanza kufanyika Dar es Salaam, tangu utaratibu wa kufanyika kwa bunge hilo kwa mzunguko kwa kila nchi mwanachama wa Jumuiya.
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa akizungumza kwenye ufunguzi wa bunge hilo.
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda (kushoto) akiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa wakati wa ufunguzi wa vikao vya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s72-c/unnamed+(14).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ovc3jRK-bFs/UzFNdlCPd6I/AAAAAAAFWJU/kwZHhYwQeyQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s72-c/IMG-20150130-WA0002.jpg)
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s1600/IMG-20150130-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a_GwgNbsM6w/VMvfY2TfQ3I/AAAAAAAHAaA/DCHiWfwPOrQ/s1600/IMG-20150130-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xmCQIWhQwEY/VMvfaemnxZI/AAAAAAAHAaI/jShhLVkKjU0/s1600/IMG-20150130-WA0003.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Feb
AFRIKA KUSINI WACHAPANA MAKONDE NDANI YA KIKAO CHA BUNGE
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/12/150212223958_south_africa__640x360_reuters_nocredit.jpg)
Bunge la Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani nao wakatoka nje ya ukumbi.Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob Zuma alipokuwa akilihutubia...
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono