KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta akiongoza kikao cha kwanza cha kamati ya Uongozi baada ya kuundwa leo. Kamati hiyo inayoundwa na wenyeviti wa Kamati za Bunge Maalum wote 12 pamoja na mambo mengine inajukumu la kaundaa ratiba ya Bunge Maalum. Kushoto kwake ni Katibu wa Bunge Maalum Yahya Khamis Hamad na aliyekaa kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Naibu Katibu wa Bunge Maalum Dkt. Thomas Kashililah akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa kamati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
MichuziSITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
10 years ago
MichuziKamati ya Uongozi ya Bunge yakutana mjini dodoma leo
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM KIMEKUTANA LEO MJINI ZANZIBAR
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Pinda akiwa kwenye kikao cha kamati ya Bunge la Katiba mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bnge Maalum la katiba kwenye viwanja vya hoteli ya St. Gaspar mjini Dodoma Agosti 7, 2014 ambako vikao vya kamati nne vinafanyika. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utaala Bora, Capt George Mkuchika, Faida Bakari na Dr. Ave Maria Semakafu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) .
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
JK aongoza kikao cha kamati kuu mjini Dodoma leo
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM kwenye ukumbi wa NEC,CCM Makao Makuu Dodoma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dC_g902pKM8/VD6i4xRgoaI/AAAAAAAASVY/jKdd3hanP2Y/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma taarifa fupi ya ufunguzi wa kikao kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjbhngtkSdU/VD6i5IYZN9I/AAAAAAAASVc/DZ-j-FKd-I0/s1600/3.jpg)
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Bi.Zakia Meghji akizungumza na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib wakibadilishana mawazo muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-aOkl6OCA_50/VD6i4enKEXI/AAAAAAAASVQ/iXw1hJ3Yyf4/s72-c/1.jpg)
KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-aOkl6OCA_50/VD6i4enKEXI/AAAAAAAASVQ/iXw1hJ3Yyf4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dC_g902pKM8/VD6i4xRgoaI/AAAAAAAASVY/jKdd3hanP2Y/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjbhngtkSdU/VD6i5IYZN9I/AAAAAAAASVc/DZ-j-FKd-I0/s1600/3.jpg)