MH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. samuel Sitta akiongoza kikao cha kamati ya uongozi ikiwa ni pamoja na kupitia ratiba ya Bunge hilo leo. Kushoto ni Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Ndg. Yahya Khamis Hamad.
Mwanasheria Mkuu wa serikali Mhe. Fredrick Werema akifafanua jambo wakati wa kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum leo. Kamati hiyo ilikaa kupitia ratiba nzima ya Bunge Maalum na jinsi litakavyoendelea na sura za rasimu ya katiba.
Wajumbe wa kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fRF5RrKDUqg/U-orOXCCL5I/AAAAAAAF-9w/9rPyibLETuY/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fRF5RrKDUqg/U-orOXCCL5I/AAAAAAAF-9w/9rPyibLETuY/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s72-c/unnamed+(14).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ovc3jRK-bFs/UzFNdlCPd6I/AAAAAAAFWJU/kwZHhYwQeyQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
VijimamboMAKINDA AONGOZA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE, KIKAO CHA BUNGE KUANZA JANUARI 27
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7e8teRwi6FI/VaAF8usENgI/AAAAAAAHoh0/3WldN6evCsU/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
JK aongoza kikao Maalum cha Kamati kuu dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-7e8teRwi6FI/VaAF8usENgI/AAAAAAAHoh0/3WldN6evCsU/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao maalum cha kamati kuu ya CCM katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo jioni.Kikao hicho pamoja na Mambo mengine kitachagua wagombea watano ambao majina yao yatapelekwa katika Halmashauri kuu katika mchakato wa kumpata mgombea atakaye peperusha bendera ya CCM kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa SMZ Dkt.Ali Mohamed...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FcohEM1USwU/VePSiZBp7vI/AAAAAAAH1II/pjvySPRaVFM/s72-c/DSC_0984.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM CCM ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FcohEM1USwU/VePSiZBp7vI/AAAAAAAH1II/pjvySPRaVFM/s640/DSC_0984.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ykh1EmCSWTo/VePSiUZMXnI/AAAAAAAH1IE/4mBReP-7G9k/s640/DSC_0997.jpg)
5 years ago
MichuziSPIKA JOB NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI, AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na waandishi wa habari katika kikao kilichofanyika leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma. Mmoja ya agenda ya kikao hicho ilikuwa ni kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge.
Wajumbe kamati ya uongozi wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa ili kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma.
5 years ago
CCM BlogSPIKA JOB NDUGA I AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI, AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)