Pinda akiwa kwenye kikao cha kamati ya Bunge la Katiba mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bnge Maalum la katiba kwenye viwanja vya hoteli ya St. Gaspar mjini Dodoma Agosti 7, 2014 ambako vikao vya kamati nne vinafanyika. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utaala Bora, Capt George Mkuchika, Faida Bakari na Dr. Ave Maria Semakafu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) .
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s72-c/unnamed+(79).jpg)
pinda akiwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba mjini dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ENhFTlzl62M/UwSgPm6C_5I/AAAAAAAFN_Y/7ad_rKWaUog/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmuxwl-IBlU/UwSgPs_cPdI/AAAAAAAFN_c/yiBNJ5J3e9A/s1600/unnamed+(80).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s72-c/unnamed+(14).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QeuCjH9YzCw/UzFNZ8gMDxI/AAAAAAAFWJM/_xfs1Z7_fYY/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ovc3jRK-bFs/UzFNdlCPd6I/AAAAAAAFWJU/kwZHhYwQeyQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Maamuzi ya kikao cha Kamati Kuu mjini Dodoma
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema, Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s72-c/7.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIjgvAY0Xsg/VkiGG4Gm-iI/AAAAAAAArXw/R73VL_h9LVI/s640/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
JK aongoza kikao cha kamati kuu mjini Dodoma leo
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM kwenye ukumbi wa NEC,CCM Makao Makuu Dodoma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dC_g902pKM8/VD6i4xRgoaI/AAAAAAAASVY/jKdd3hanP2Y/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma taarifa fupi ya ufunguzi wa kikao kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjbhngtkSdU/VD6i5IYZN9I/AAAAAAAASVc/DZ-j-FKd-I0/s1600/3.jpg)
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Bi.Zakia Meghji akizungumza na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib wakibadilishana mawazo muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...
10 years ago
GPLKIKAO CHA KAMATI KUU CCM CHAENDELEA MJINI DODOMA
9 years ago
CCM Blog15 Nov
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa Rasmi - Uspika