JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambapo ajenda kuu ilikuwa kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philipo Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia).
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kikiendelea...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Oct
JK aongoza kikao cha kamati kuu mjini Dodoma leo
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM kwenye ukumbi wa NEC,CCM Makao Makuu Dodoma.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma taarifa fupi ya ufunguzi wa kikao kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma.

Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Bi.Zakia Meghji akizungumza na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib wakibadilishana mawazo muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu...
11 years ago
Vijimambo
KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA LEO



10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

10 years ago
Michuzi
JK aongoza kikao Maalum cha Kamati kuu dodoma

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao maalum cha kamati kuu ya CCM katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo jioni.Kikao hicho pamoja na Mambo mengine kitachagua wagombea watano ambao majina yao yatapelekwa katika Halmashauri kuu katika mchakato wa kumpata mgombea atakaye peperusha bendera ya CCM kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa SMZ Dkt.Ali Mohamed...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DODOMA
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Mjini Unguja


10 years ago
Michuzi
JK Aongoza Kikao Cha Halmashauri Kuu mjini Dodoma leo


11 years ago
Vijimambo
JK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA

.jpg)

Wajumbe wa Halmashauri Kuu wakiwa kwenye mkutano kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma


