KIKAO CHA KAMATI KUU CCM CHAENDELEA MJINI DODOMA
Kikao cha Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2015 kinaendelea muda huu huko mkoani Dodoma baada ya kuahirishwa jana usiku.Kikao hicho kinatarajia kumtangaza mgombea urais wa chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba, 2015. Kujua nini kinaendelea, angalia LIVE Hapa====>>>bit.ly/1KYm3QQ
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM chaendelea mjini Dodoma leo
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
JK awasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM
Rais Jakaya Kikwete akialimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM August 19, 2014. Kushoto ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma August 19, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsuuEsZzo1cZe*DA7NSbMmwlDDTv8bN2m41ITlAatkPfNvLWivucvBRS2ocNGAK01ESqisVXYrQ*AX92hJG97nxt/1.jpg?width=650)
TASWIRA ZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA KILIVYOENDESHWA JANA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EIXigiHGuFk/XuCvRSDMfdI/AAAAAAACM5Y/YHoV7HIhVzwhplJb2HUdQAu-DuXDoFcyQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200610_125301.jpg)
DK. MAGUFULI NA DK. SHEIN WATETA KABLA YA KUANZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM, IKULU YA CHAMEINO MJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-EIXigiHGuFk/XuCvRSDMfdI/AAAAAAACM5Y/YHoV7HIhVzwhplJb2HUdQAu-DuXDoFcyQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200610_125301.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Maamuzi ya kikao cha Kamati Kuu mjini Dodoma
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi alisema, Kamati Kuu pamoja na mambo mengine, ilipokea taarifa na kufanya tathimini juu ya maendeleo ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba nchini, ndani na nje ya Bunge.
Kamati Kuu vilele imepokea na kujadili taarifa kuhusu mazungumzo na mashauriano kati ya vyama vya CUF, CHADEMA,...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s72-c/7.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qSz_QvGivLE/VkiGDJL195I/AAAAAAAArXg/6FFVphVIpA8/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIjgvAY0Xsg/VkiGG4Gm-iI/AAAAAAAArXw/R73VL_h9LVI/s640/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s72-c/0L7C0086.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s1600/0L7C0086.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-psSP19LECkg/U_QGL68tHoI/AAAAAAAGA08/OqLA7f8tyjU/s1600/dom2.jpg)
9 years ago
CCM Blog15 Nov
KIKAO CHA KAMATI KUU KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inatarajiwa kufanya kikao chake cha siku moja mjini Dodoma kesho Novemba 15, 2015 kujadili majina ya wana-CCM walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Taarifa Rasmi - Uspika