Miss Kanda Mashariki kufanyika Agosti 8 Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOLbtedQXFU/U8zdDT4GhyI/AAAAAAAF4To/b0gi-J_HTnU/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Baadhi ya warembo wa Miss Kanda Mashariki katika pozi mbalimbali.
Mashindano ya kumsaka mrembo kanda ya Mashariki ( Redds Miss Eastern Zone 2014) yatafanyika siku ya sikukuu ya Nanenane kwanue ukumbi wa Nashera Hotel, mkoani Morogoro.
Mashindano hayo yatashirikisha jumla ya warembo 14 kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Lindi, Mtwara na mwenyeji, Mkoa wa Morogoro chini ya udhamini wa Redds Original, Zanzi Cream Liquer, Pepsi, Usambara Safari Lodge, Kitwe General Traders, Starwing Lodge,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Miss Kanda Mashariki Vipaji kufanyika Idd Pili
WAREMBO 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki, Redd’s Miss Eastern Zone 2014, wanakabiliwa na mchuano wa kuwania la taji la vipaji utakaofanyika siku ya Idd Pili katika Ukumbi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmreeHVc4GYo*rdwnzWukTZonzpQAEVfAzjf7zuvN6uEp1pG6z9Ug5QbyXZA1j5BjxQM03jLceoTMTDlYReyjuYu/1.jpg?width=650)
MKUTANO BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KUFANYIKA DAR AGOSTI 27
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzepA0Xrp1npx820Z71lTD7d0AYZrGTaBSHzaaOa8Ybu0F8uEwpnslHPdxr0oAeFw6PBGrW*fW-G5fWYkT1sIs02/miss.jpg?width=650)
FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Miss Kanda Mashariki Vipaji Idd Pili
10 years ago
Michuzi13 Aug
ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qzd10IHg56E/U-octUGkefI/AAAAAAAAV2o/EbqT0Rt0NIM/s1600/KIDEDEA%2BMISS%2BKANDA%2BYA%2BMASHARIKI..jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida
![DSC01201](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01201.jpg)
![DSC01193](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01193.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Waandishi Morogoro kuchaguana Agosti 22
Na Ashura Kazinja, Morogoro
HEKAHEKA ya kupata viongozi wapya watakaoongoza kwa miaka mitatu Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) zimeanza.
Hayo yalibainishwa na mratibu wa klabu hiyo, Thadei Hafigwa, wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini hapa ambapo alisema uchaguzi huo utafanyika Agosti 22, mwaka huu.
Alisema uchaguzi huo unafanyika ili kutekeleza azimio la mkutano mkuu wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ili kuiweka vema...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BNHhOvTmVBg/U8uPFTLdhSI/AAAAAAAF32c/cARAkOjckw0/s72-c/download.jpg)
KOZI YA UKOCHA LESENI A SASA KUFANYIKA AGOSTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BNHhOvTmVBg/U8uPFTLdhSI/AAAAAAAF32c/cARAkOjckw0/s1600/download.jpg)
Marekebisho hayo yamefanyika kutokana na maelekezo ya CAF ambayo ndiyo itakayosimamia na kuendesha kozi hiyo itakayoshirikisha makocha wenye leseni B za shirikisho hilo.
Tarehe rasmi ya kuanza kozi hiyo itatangazwa wiki ijayo. Mwezi uliopita Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa...
11 years ago
Michuzi11 Aug
SIKU YA VIJANA DUNIANI KUFANYIKA AGOSTI 24, 2014
![Picha no 1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/djLYJ28hsrvBA7m9stUALdzcafAHmv-auL9QflvnYdUkJV_M761pN3MH4UpGbEQVAw1oD2PXpHWKnxZSwo1CYa1kbtNywfxWgfK1uN9pWv8AFRxNF4x1pZuFsEgIuA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/Picha-no-1.jpg)
NI NA MICHEZO DKT FENELLA MUKANGARASiku ya Vijana Duniani itafanyika tarehe 12 Agosti, 2014 ikiwa na lengo la kuyafanya masuala mbalimbali ya vijana kutambulika katika jamii ya Kimataifa. Mwaka huu, ujumbe ni “Vijana na Afya Kiakili”. Tarehe hii iliamuliwa kuwa Siku ya Vijana Duniani na Umoja wa Mataifa mwaka 1999. Hii ni Siku maalum inayodhihirisha kutambua kazi muhimu zinazofanywa na vijana na umuhimu wake katika jamii pamoja na kuwapa fursa kwa ajili ya...