Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Kanda Mashariki Vipaji Idd Pili

Warembo 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki (Redd’s Miss Eastern Zone 2014) watashindania taji la vipaji (Talent Award), lililopangwa kufanyika siku ya Idd Pili kwenye Ukumbi wa Maisha Plus, Kibaha, Pwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Kanda Mashariki Vipaji kufanyika Idd Pili

WAREMBO 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki, Redd’s Miss Eastern Zone 2014, wanakabiliwa na mchuano wa kuwania la taji la vipaji utakaofanyika siku ya Idd Pili katika Ukumbi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Miss Kanda Mashariki kufanyika Agosti 8 Morogoro

Baadhi ya warembo wa Miss Kanda Mashariki katika pozi mbalimbali.
Mashindano ya kumsaka mrembo kanda ya Mashariki ( Redds Miss Eastern Zone 2014) yatafanyika siku ya sikukuu ya Nanenane kwanue ukumbi wa Nashera Hotel, mkoani Morogoro.
Mashindano hayo yatashirikisha jumla ya warembo 14 kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Lindi, Mtwara na mwenyeji, Mkoa wa Morogoro chini ya udhamini wa Redds Original, Zanzi Cream Liquer, Pepsi, Usambara Safari Lodge, Kitwe General Traders, Starwing Lodge,...

 

10 years ago

Michuzi

ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014

Mshindi wa Taji la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2014 ,  Elizabeth  Tarimo (18) ambaye pia ni Miss Lindi akiwa mwenye uso wa furaha na tabasamu la ushindi sambamba na  mshindi wa pili  Nidah Katunzi (19) ( kulia) ,ambaye ni Miss Mtwara pamoja na wa tatu, Lucy Julius Diyu  (21) (kushoto) Miss Morogoro baada ya kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo wakati  kinya’ganyiro cha kuwania taji hilo  kilichofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Hoteli ya Nashera ya mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo ‘kuhamia’ Kanda ya Ziwa Idd

MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki jana ametoa ratiba ya maonyesho ya bendi yao wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Idd. Choki alisema katika onyesho la kwanza siku ya...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA

Ilikuwa enzi zile za Ujamaa; enzi bendi za Kizaire zikiwika, enzi za mabasi ‘konokono’ ya UDA (Shirika la Usafiri Dar es Salaam), enzi Mwalimu Nyerere akiogopewa na kuheshimika, enzi bendi nyingi za Watanzania zikitegemea kudra ya mashirika.

 

10 years ago

GPL

TMK WANAUME HALISI KUJA NA TAMASHA LA MUZIKI IDD PILI

Muongozaji wa tamasha hilo, Ally Coco (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani)pamoja na Rich One. Wanahabari wakichukua tukio. Wakisikiliza kwa makini. UONGOZI wa Kundi la Muziki la TMK Wanaume Halisi lenye maskani yao, Temeke…

 

11 years ago

Michuzi

tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili

KAMPUNI ya Bia Nchini (TBL) kupitia kinywaji chake cha Grand Malt kimetangaza kudhamini tamasha la wazi la filamu ‘Tanzania Open Festival’ litakalofanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu mkoani Mtwara.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Dar Indian Ocean kusaka vipaji leo

WAREMBO wa Miss Dar Indian Ocean 2014 wanatarajiwa kuchuana kumsaka mwenye kipaji leo usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya Chichi, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

11 years ago

Dewji Blog

Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo

Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani