Miss Kanda Mashariki Vipaji Idd Pili
Warembo 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki (Redd’s Miss Eastern Zone 2014) watashindania taji la vipaji (Talent Award), lililopangwa kufanyika siku ya Idd Pili kwenye Ukumbi wa Maisha Plus, Kibaha, Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Miss Kanda Mashariki Vipaji kufanyika Idd Pili
WAREMBO 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki, Redd’s Miss Eastern Zone 2014, wanakabiliwa na mchuano wa kuwania la taji la vipaji utakaofanyika siku ya Idd Pili katika Ukumbi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mOLbtedQXFU/U8zdDT4GhyI/AAAAAAAF4To/b0gi-J_HTnU/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Miss Kanda Mashariki kufanyika Agosti 8 Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOLbtedQXFU/U8zdDT4GhyI/AAAAAAAF4To/b0gi-J_HTnU/s1600/unnamed+(34).jpg)
Mashindano ya kumsaka mrembo kanda ya Mashariki ( Redds Miss Eastern Zone 2014) yatafanyika siku ya sikukuu ya Nanenane kwanue ukumbi wa Nashera Hotel, mkoani Morogoro.
Mashindano hayo yatashirikisha jumla ya warembo 14 kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Lindi, Mtwara na mwenyeji, Mkoa wa Morogoro chini ya udhamini wa Redds Original, Zanzi Cream Liquer, Pepsi, Usambara Safari Lodge, Kitwe General Traders, Starwing Lodge,...
10 years ago
Michuzi13 Aug
ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qzd10IHg56E/U-octUGkefI/AAAAAAAAV2o/EbqT0Rt0NIM/s1600/KIDEDEA%2BMISS%2BKANDA%2BYA%2BMASHARIKI..jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Extra Bongo ‘kuhamia’ Kanda ya Ziwa Idd
MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki jana ametoa ratiba ya maonyesho ya bendi yao wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Idd. Choki alisema katika onyesho la kwanza siku ya...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA
10 years ago
GPLTMK WANAUME HALISI KUJA NA TAMASHA LA MUZIKI IDD PILI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yKl4rowHyKg/U5lRt1WEzeI/AAAAAAAFp7Q/v7eNHguCTWQ/s72-c/S1.jpg)
tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Miss Dar Indian Ocean kusaka vipaji leo
WAREMBO wa Miss Dar Indian Ocean 2014 wanatarajiwa kuchuana kumsaka mwenye kipaji leo usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya Chichi, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo
Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...