Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA

Ilikuwa enzi zile za Ujamaa; enzi bendi za Kizaire zikiwika, enzi za mabasi ‘konokono’ ya UDA (Shirika la Usafiri Dar es Salaam), enzi Mwalimu Nyerere akiogopewa na kuheshimika, enzi bendi nyingi za Watanzania zikitegemea kudra ya mashirika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jokate Mwegelo: Wasanii wa nje wameendeleza vipaji vyetu

JOKATENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Jojo’, ameweka wazi kwamba tabia ya kuwashirikisha wasanii maarufu kutoka nje ya nchi katika baadhi ya nyimbo za wasanii wa ndani kumeinua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa Tanzania.
Jokate alisema hali hiyo ndiyo iliyomsukuma aendelee kuwashirikisha wasanii wa nje katika muziki anaofanya ili akuze kipaji na kutanua soko la muziki wake.
“Jina langu limepiga hatua kubwa katika masuala ya mitindo na ubunifu, hivyo nataka nijulikane zaidi na...

 

10 years ago

TheCitizen

Saidi Kanda proves African music is the needed pleasure

His music makes you feel pure joy,” the English lady reflects with sparkling teeth and a smile bright enough to light the semi darkness of Rich Mix, East London.

 

11 years ago

Mwananchi

Soka, vyama vya kifashisti ulaya na harakati za waafrika ...

Mashindano kuwania Kombe la Dunia la Soka yataanza juma lijalo.Timu shiriki zimekuwa zikicheza mechi za kirafiki kujipima, mara nyingi na mataifa ambayo hayatakuwepo ndani ya kichamchela hicho cha FIFA. Wiki iliyopita Ufaransa ilipambana na Norway na Paraguay.

 

11 years ago

Mwananchi

Miss Kanda Mashariki Vipaji Idd Pili

Warembo 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki (Redd’s Miss Eastern Zone 2014) watashindania taji la vipaji (Talent Award), lililopangwa kufanyika siku ya Idd Pili kwenye Ukumbi wa Maisha Plus, Kibaha, Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Kanda Mashariki Vipaji kufanyika Idd Pili

WAREMBO 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki, Redd’s Miss Eastern Zone 2014, wanakabiliwa na mchuano wa kuwania la taji la vipaji utakaofanyika siku ya Idd Pili katika Ukumbi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya

Hivi sasa Sunday Ramadhan Manara ni babu mwenye wajukuu, ameacha mazoezi, amekuwa ‘bonge’, anakumbuka alipokuwa mchezaji alikuwa na kilogramu 74, lakini sasa anazo 110.

 

11 years ago

Dewji Blog

Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo

Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaji Siri ya nyota Amerika Kusini kung’ara England, Ulaya

Soka linabaki kuwa moja ya mchezo unaopendwa zaidi duniani, huku makocha wakiumiza vichwa kusaka mafanikio kwa kusajili nyota wa kuwang’arisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani