Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya
Hivi sasa Sunday Ramadhan Manara ni babu mwenye wajukuu, ameacha mazoezi, amekuwa ‘bonge’, anakumbuka alipokuwa mchezaji alikuwa na kilogramu 74, lakini sasa anazo 110.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s72-c/Manara(2).jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s1600/Manara(2).jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s320/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.
Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7pHbSlWh_0o/VgYuE1FBpwI/AAAAAAAH7Ok/c0tu2rHCtQQ/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Ma-Alhaj King Majuto na Sunday Manara Computer wakutana Makka
![](http://3.bp.blogspot.com/-7pHbSlWh_0o/VgYuE1FBpwI/AAAAAAAH7Ok/c0tu2rHCtQQ/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s72-c/images.jpg)
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s640/images.jpg)
Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Benki ya Standard Chartered yateua Mkurugenzi wa kwanza Mtanzania
Sanjay Rughani (pichani) anakuwa Mtanzania wa kwanza kuiongoza benki ya Standard Chartered Tanzania akipokea uongozi wa benki hiyo kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wake, Liz Lloyd, ambaye amerudi katika makao makuu ya benki hiyo, London, kuchukua nafasi ya Mshauri wa Kisheria wa benki hiyo.
Sanjay alijiunga na benki ya Standard Chartered Tanzania mwaka wa 1999 akiwa kama Meneja msaidizi wa kitengo cha Fedha. Baada ya miaka miwili Sanjay alipata cheo cha Meneja wa kitengo cha Fedha kwa Bara...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mtanzania wa kwanza mwenye leseni ya uhakiki ndege kimataifa
10 years ago
Mwananchi14 Dec
SAIDI KANDA, MTANZANIA ANAYETHIBITISHA NIDHAMU NA VIPAJI VYETU WAAFRIKA ULAYA
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
DK HAMZA KONDO: Mtanzania kwa kwanza kutunukiwa PhD ya mawasiliano ya umma nchini
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimekuwa chuo cha kwanza Tanzania tangu nchi ipate uhuru kutunuku shahada ya uzamivu ya mawasiliano ya umma (PhD in Mass Communication) kati ya vyuo...
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Ulaya