Ma-Alhaj King Majuto na Sunday Manara Computer wakutana Makka
![](http://3.bp.blogspot.com/-7pHbSlWh_0o/VgYuE1FBpwI/AAAAAAAH7Ok/c0tu2rHCtQQ/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
Mwigizaji mchekeshaji nyota King Majuto akiwa na mchezaji wa zamani wa Taifa Stars na Yanga Sunday Manara 'Computer' wakiwa mjini Makka wakati wa Hijja. Hawa ni miongoni mwa Watanzania walionusurika katika maafa ya msongamano wa watu Mina juzi uliochukua maisha ya mahujaji zaidi ya 700 kutoka kila pembe ya dunia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MlQYAfbbQKo/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AI-C-DD*hSdwsSg7qmCtWoI3PMHwTivlvxsPX4G*FTDbpxCP9sx*Eyl1ZODN3Sw91UHhG4VotZXvPO*ll8CxJG4luriKW1nd/Majuutoo.jpg?width=650)
MAJUTO AREJEA TOKA MAKKA SHAVU DODO!
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s72-c/Manara(2).jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s1600/Manara(2).jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s320/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.
Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s72-c/images.jpg)
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone
![](http://3.bp.blogspot.com/-9YvvdoQ-HLA/Vakgpn_1ZeI/AAAAAAAHqRs/-kIuG5TpG8Q/s640/images.jpg)
Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
10 years ago
Bongo Movies31 May
King Majuto Agutuka
Staa mkongwe wa filamu za vichekesho King Majuto ameamua kufanya filamu zake mwenyewe na si zakushirikishwa kama kipindi cha nyuma.
Akizungumza na gazeti la Nipasge wiki hii, Majuto alisema ameamua kuwa anatoa filamu zake baada ya kuona vijana wadogo ambao wameanza kazi za uigizaji hivi karibuni wanafanya kazi za kutengeneza filamu zao wenyewe katika kampuni zao.
Majuto alisema anatafakari mbinu za kujiekea mazingira mazuri kwa ajili ya kutengeneza filamu zake.
“Nimechoka kucheza...
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
King Majuto Kuja na Lakuvunda
AMRI Athuman ‘King Majuto’ baada ya kutoka Hija anatarajia kuja na filamu kali ya Lakuvunda ambayo itakuwa ni funga mwaka 2015, sinema hiyo ambayo imetengenezwa katika kiwango cha kimataifa, akiongea FC msemaji wa kampuni ya Splash Entertanment Steve Selenge amesema ni kazi nzuri.
“Filamu ya Lakuvunda imetengenezwa katika kiwango cha hali ya juu sana maana ni kazi ya kufunga mwaka kuanzia ubora wa hadithi production na waigizaji hasa King Majuto amefunika,”anasema Selenge.
Sinema ya...
9 years ago
Bongo Movies26 Nov
JB: King Majuto Atacheza Filamu Yangu
STAA wa filamu Bongo Jacob Stephen maarufu kama JB, amesema licha ya muigizaji mkongwe Amri Athumani ‘King Majuto’ kudai kuiweka kando sanaa ili afanye mambo ya kumpendeza Mungu baada ya kurejea kutoka hija huko Makka, atafanya hivyo baada ya kucheza kazi atakayoiandaa.
Akizungumza na gazeti hili, alisema yeye ni kama mtoto kipenzi wa Mzee Majuto, hivyo hawezi kukataa ombi lake kwa kuwa hata yeye anataka kustaafu kuigiza baada ya kufanya filamu moja na muigizaji huyo aliyejipatia umaarufu...