Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba

UONGOZI  wa Simba umemtangaza mwandishi wa habari wa siku nyingi,Haji Sunday Manara kuwa msemaji mpya wa klabu hiyo ya wekundu wa Msimbazi.
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba  imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)

Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]

The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Michuzi

MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO

Wapendwa wana-Simba wenzangu,
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi  naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.

Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao  hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...

 

10 years ago

Michuzi

Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone



Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school  iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...

 

9 years ago

Michuzi

UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA


Ama hakika wengi waliokuwepo Uwanja wa Taifa  jana waliondoka kwa huzuni sana. Waliondoka kwa huzuni sio sababu timu ya taifa ilifungwa. Laa hasha!! Hawakutegemea kupata matokeo ya sare kwenye mchezo wa kufuzu kucheza kombe la dunia dhidi ya miamba ya soka afrika Algeria.Tayari kwa kila mmoja mechi ilishaisha hasa baada ya kuongoza kwa goli mbili kwa bila.ila mpira ni mchezo wa makosa.mwisho wa mchezo ikawa huzuni kwetu baada ya waarabu wa kaskazin mwa afrika kusawazisha goli zote...

 

10 years ago

Mwananchi

Sunday Manara ‘Kompyuta’ Mtanzania wa kwanza Ulaya

Hivi sasa Sunday Ramadhan Manara ni babu mwenye wajukuu, ameacha mazoezi, amekuwa ‘bonge’, anakumbuka alipokuwa mchezaji alikuwa na kilogramu 74, lakini sasa anazo 110.

 

9 years ago

Michuzi

Ma-Alhaj King Majuto na Sunday Manara Computer wakutana Makka

Mwigizaji mchekeshaji nyota King Majuto akiwa na mchezaji wa zamani wa Taifa Stars na Yanga Sunday Manara 'Computer' wakiwa mjini Makka wakati wa Hijja. Hawa ni miongoni mwa Watanzania  walionusurika katika maafa ya msongamano wa watu Mina juzi uliochukua maisha ya mahujaji zaidi ya 700 kutoka kila pembe ya dunia.

 

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI

Na Ripota Wetu,Michuzi TV
SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani