JPM AWAKUNA WANAMICHEZO, HAJI MANARA AMFAGILIA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA

10 years ago
Michuzi.jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
.jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
10 years ago
Michuzi
MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO

Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.
Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...
10 years ago
Michuzi
Haji Sunday Manara amlilia Rafiki yake Ramadhani Masanja Banza Stone

Oooh Rama Mate...! Nilipenda kumwita hvyo. Ni kijana wa mjini hasa. ilianza nae standard one shule ya msingi darasa moja pale Mnazi Mmoja Primary school iliyopo mkabala na iliopozaliwa TANU (ofisi ndogo ya CCM ) New street (Lumumba) na tulikuwa sote kwa miaka miwili kabla ya wazazi kunihamishia Bunge Orimary iliopo Ohio street mkabala na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa miaka hiyo tulikuwa na uswahiba mkubwa wa kitoto. Nikikumbuka halftime mbio zetu kwenda kwa muuza...
5 years ago
Michuzi
MNEC HAJI JUMAA AMFAGILIA MAKONDA KWA KUPIGANIA KUNDI LA VIJANA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC Pwani ),Haji Jumaa amempa tano ,mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kwa kupigania kero mbalimbali ,ikiwemo hatua aliyochukua kukemea baadhi ya askari wa Jiji hilo kuacha kuwabugudhi waendesha bodaboda kwa kuelekeza mamlaka husika kuwaruhusu kuingia Mjini.
Hatua hiyo itawezesha kusaidia zaidi ya familia milioni moja kwa wastani wa watu 10 kwa kila muendesha bodaboda, ,kwa idadi ya abiria wanaotumia bodaboda zaidi ya laki tano kwa...
5 years ago
Michuzi
ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI

SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio)
Siku moja baada ya klabu ya Dar Es Salaam Young African kutangaza maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Haruna Niyonzima. Mengi yameanza kuandikwa na kuulizwa eti klabu ya Simba inamnyatia staa huyo wa Rwanda? Hili ndio jibu la afisa habari wa Simba Haji Manara. “Haruna […]
The post Majibu ya msemaji wa Simba Haji Manara kuhusu Simba kuhusishwa kumsajili Haruna Niyonzima (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Michuzi
JPM awakuna wananchi wenye ulemavu, wamshukuru kwa kutimiza ahadi ya kuwakumbuka katika uongozi wake
9 years ago
Habarileo30 Dec
Manara: Mimi shabiki wa Niyonzima
SIKU moja baada ya Klabu ya Yanga kumtupia virago winga wake, Haruna Niyonzima, msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema yeye ni shabiki mkubwa wa mchezaji huyo.