MNEC HAJI JUMAA AMFAGILIA MAKONDA KWA KUPIGANIA KUNDI LA VIJANA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC Pwani ),Haji Jumaa amempa tano ,mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kwa kupigania kero mbalimbali ,ikiwemo hatua aliyochukua kukemea baadhi ya askari wa Jiji hilo kuacha kuwabugudhi waendesha bodaboda kwa kuelekeza mamlaka husika kuwaruhusu kuingia Mjini.
Hatua hiyo itawezesha kusaidia zaidi ya familia milioni moja kwa wastani wa watu 10 kwa kila muendesha bodaboda, ,kwa idadi ya abiria wanaotumia bodaboda zaidi ya laki tano kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi17 May
11 years ago
Dewji Blog04 Sep
MNEC Ikungi awataka viongozi wa dini kukemea maovu kwa vijana
Mjumbe wa halmashauri kuu (NEC) CCM taifa wilaya ya Ikungi, Jonathan Njau, akizungumza na viongozi wa makanisa ya Free Pentekoste, KKKT na Roman katoliki kijiji cha Kipumbuiko muda mfupi kabla ya kuwakabidhi msaada wa mifuko 60 kwa ajili ya ujenzi, uboreshaji wa majengo ya makanisa yao.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIONGOZI wa madhehebu ya dini jimbo la Singida mashariki mkoa wa Singida, wameombwa kuwaelimisha na kuwahimiza vijana kuishi maisha mema na ya uadilifu, ili kupunguza kasi ya...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
MNEC awataka vijana kufanya kazi
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Tanga (MNEC), Kasimu Kisauji, amewataka walezi na wazazi wilayani humo kuwahimiza vijana kufanya kazi kwa bidii na kuacha...
11 years ago
Habarileo05 Feb
Ashauri wajumbe Bunge la Katiba kupigania vijana
WAJUMBE watakaopata nafasi ya kuingia katika Bunge la Katiba, wameshauriwa kuhakikisha wanapigania masuala ya vijana . Mwenyekiti wa Taasisi ya Vijana nchini (TYVA), Elly Ahimidiwe alidai katika rasimu ya Katiba mpya, kijana hajafafanuliwa kwa mapana zaidi, hali inayoonesha kundi hilo limetengwa.
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
11 years ago
Tanzania Daima11 Oct
BAVICHA:Vijana mpuuzeni Makonda
BARAZA la Vijana CHADEMA (BAVICHA), limewataka vijana wampuuze Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda kwa kujifanya msemaji wa vijana nchini. Kauli hiyo, ilitolewa jijini...
10 years ago
VijimamboKUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)