BAVICHA:Vijana mpuuzeni Makonda
BARAZA la Vijana CHADEMA (BAVICHA), limewataka vijana wampuuze Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda kwa kujifanya msemaji wa vijana nchini. Kauli hiyo, ilitolewa jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKONDA AKUTANA NA VIJANA KUTATUA TATIZO LA AJIRA
11 years ago
Michuzi.jpg)
RASIMU YA KATIBA IMEWASAHAU VIJANA - PAUL MAKONDA
.jpg)
Mimi ni Kijana, ninayoyazungumza,ninayoyafanya yana reflect uhalisia huo. Hivyo kwa wito wa Ujana najikuta nashawishika sana kuongeza umakini katika masuala yahusuyo vijana hasa kwenye Katiba.
Ni ajabu lakini kweli kuwa sehemu inayotaja juu ya Haki na Wajibu wa Vijana katika Rasimu yote ni Ibara ya 44 tu, tena inataja kwa ujumla wake bila hata...
5 years ago
Michuzi
MNEC HAJI JUMAA AMFAGILIA MAKONDA KWA KUPIGANIA KUNDI LA VIJANA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC Pwani ),Haji Jumaa amempa tano ,mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kwa kupigania kero mbalimbali ,ikiwemo hatua aliyochukua kukemea baadhi ya askari wa Jiji hilo kuacha kuwabugudhi waendesha bodaboda kwa kuelekeza mamlaka husika kuwaruhusu kuingia Mjini.
Hatua hiyo itawezesha kusaidia zaidi ya familia milioni moja kwa wastani wa watu 10 kwa kila muendesha bodaboda, ,kwa idadi ya abiria wanaotumia bodaboda zaidi ya laki tano kwa...
11 years ago
Habarileo22 May
Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
BAVICHA waivaa serikali
BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (BAVICHA), limelaani kitendo cha wanafunzi wa darasa la saba kufaulu mitihani yao na kushindwa kupangiwa shule kwa ajili ya kuendelea na...
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa
Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...
11 years ago
Mwananchi12 Sep
Bavicha wakesha wakichaguana