Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa
Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
BAVICHA yamvaa Pinda uchaguzi serikali za mitaa
BARAZA la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), limeitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (Tamisemi), kutoa majibu ya haraka juu ya kuenguliwa kwa wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Wosia wa Mandela watangazwa
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Papa wawili watangazwa watakatifu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6q4t4dNL56kamYH7eMhNYMFf0grUFNHBQRO0sg97ne3mDV8wyjUuxtxouu1HcghiNDkUF43PMbLzjet8DagFgiAjQNlwOJHF/T.I1.jpg?width=600)
UZINDUZI MAALUM WA NGUO ZA T.I WATANGAZWA DAR
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Wagombea wa michezo ya Olimpiki 2024 watangazwa
11 years ago
KwanzaJamii28 Apr
Mapapa wawili watangazwa kuwa watakatifu
9 years ago
Bongo508 Dec
Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza
![kendrick lamar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-lamar-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.
Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.
Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.
Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...