Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa wawili watangazwa watakatifu

Papa John Paul II na Papa John xxIII wametangazwa na Kanisa Katoliki kuwa watakatifu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Mapapa wawili watangazwa kuwa watakatifu

Na Albano Midelo UMATI mkubwa wa watu  ulikusanyika mjini Vatican kushuhudia tukio la kihistoria ambapo viongozi wawili wa zamani wa Kanisa Katoliki, Papa John Paul II na Papa John XXIII wametangazwa watakatifu. Viongozi hao wakuu wa kanisa katoliki walitangazwa katika ibada iliyoendeshwa kwa pamoja kati ya Papa Francis na mtangulizi wake Papa Benedict XVI imeangaliwa na karibu mahujaji milioni moja na wengine mamilioni ya watu kupitia matangazo ya televisheni na redio. Karibu ujumbe wa...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

11 years ago

GPL

PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUTANGAZWA WATAKATIFU LEO

Waumini wakisubiri kuingia St Peter's Square jijini Vatican tayari kwa tukio la kutangazwa watakatifu Papa John Paul II na John XXIII baadaye hii leo. Papa John Paul II na John XXIII wanatarajiwa kutangazwa watakatifu leo katika tukio litakaloongozwa na mkuu wa sasa wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis huko St Peter's Square  jijini Vatican.  Watu takribani milioni moja wanataraji kuhudhuria tukio hilo la kihistoria. ...

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WATANGAZWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZIL WIKI HII

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza majina ya washindi wa droo ya tatu ya Winda Safari ya Brazil na Serengeti mbele ya wana habari(hawapo pichani)mara baada ya kuchezesha droo mapema leo jijini Dar es Salaam, anayemshuhudia ni Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha Bw. Mrisho Milao.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya Winda Safari ya Brazil na Serengeti...

 

10 years ago

Dewji Blog

Papa wavamia ufukweni na kushambulia mabinti wawili waliokuwa wakiogelea!!

shark-attack-01-1024Emergency responders help a teenage girl following a shark attack in Oak Island, North Carolina

Two teenagers were mauled by sharks in separate attacks within the same area on a North Carolina beach Sunday.

The attacks occurred on a beach in Oak Island, North Carolina, a town about 30 miles from Wilmington, ABC News reports. The victims were a 13-year-old girl and a 16-year-old boy, both suffering extreme injuries.

The girl had her left arm amputated below the elbow when she was bitten by a...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uchaguzi wa BAVICHA watangazwa

JOHN HECHE BAVICHA KIKAO CHA KAMATI UTENDAJI BAVICHA PIX NO 1

Mwenyekiti wa Taifa, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA), John Heche.(Picha na Maktaba)

Na Mwandishi wetu

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Septemba 10, mwaka huu kutokana na umri wake kuwa mkubwa.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Heche alisema anaheshimu Katiba ya chama hicho ambapo kutokana na umri wake kuvuka miaka 30, hatagombea tena nafasi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wosia wa Mandela watangazwa

Wosia wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela umesomwa huku mgawanyo wa mali zake ukielekezwa katika maeneo tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Usitishwaji vita watangazwa Sudan.K

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar ametangaza usitishwaji vita wa kudumu kuanzia usiku wa manane hii leo Jumamosi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani