#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Hotuba ya kwanza ya Papa Francis Afrika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Vazi la Papa, Afrika
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Papa kutua Kenya Kesho
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Papa amewasili Jamhuri ya Afrika ya Kati
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kiongozi Muislamu amsifu Papa, Kenya
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa Francis awapa pole wa Kenya