Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa amewasili Jamhuri ya Afrika ya Kati

Papa Francis ameanza mkondo wake wa mwisho wa ziara yake katika mataifa ya Afrika Jumapili kwa kuwasili katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Bangui

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Mapigano makali yanaendelea kushuhudiwa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) huku taifa hilo lilijiandaa kwa uchaguzi mkuu

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanane wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Wanajeshi wa Afrika nchini Jamhuri ya afrika ya kati wasema watu wanane wameuawa na vikosi vya Chad katika mji mkuu wa Bangi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa 'wakristu wasilipize kisasi' Afrika ya Kati

Papa Francis amewaomba wakristo wasilipize kisasi dhidi ya Waislamu katika jamhuri ya Afrika ya Kati

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa azuru Mashariki ya Kati

Papa asihi vita vya Syria vimalizwe kwa amani

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa akamilisha ziara Mashariki ya Kati

Papa Francis ametoa wito kwa wakristo, wayahudi na waisilamu katika eneo la Mashariki ya kati kupendana

 

11 years ago

GPL

UTIAJI SAINI WA MIKATABA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA TANZANIA

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangara na Waziri wa Biashara wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao wakitia saini Mikataba ya Muendelezo wa awamu ya Tatu ya Ujenzi wa Uwanja wa Taifa pamoja na Makabidhiano ya gari la kurushia matangazo (OB VAN)  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Vazi la Papa, Afrika

Akiwa nchini Kenya kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis atakitembelea pia kitongoji cha Kangemi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hotuba ya kwanza ya Papa Francis Afrika

Papa Francis ametoa hotuba yake ya kwanza baada ya kutua Kenya akihimiza umoja, kuwathamini vijali na kuyajali mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani