Papa kutua Kenya Kesho
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Papa Francis kutua Kenya leo
NAIROBI, Kenya
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.
Wakati huohuo, Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.
Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.
Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa na baadaye Jamhuri ya Afrika ya Kati...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Malawi kutua Mbeya kesho
MSAFARA wa watu 31 wakiwamo wachezaji 20 wa timu ya soka ya taifa ya Malawi ‘Flames’, unatarajia kuwasili jijini Mbeya kesho, tayari kwa pambano la kimataifa la kirafiki dhidi ya...
9 years ago
Habarileo11 Nov
Algeria kutua kesho Dar
WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
11 years ago
GPLTambwe, Kaze kutua Dar kesho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw6YH9axGC1hS0PYJsyxfJKftrDRKwe07vjqOtNUZBUAJNVOQ3a3FElO-x24VyrKPGGOCUqew-xHBG0dDiuah1D/YemiAlade2.jpg)
YEMI ALADE KUTUA NCHINI KESHO JUMATANO
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho
11 years ago
Michuzi26 Feb
SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA
![](https://4.bp.blogspot.com/-7C7KMJ0Z0NQ/Uw3LmApvesI/AAAAAAAA_b8/w2qqMD9LAr4/s1600/Shepolopolo.jpg)