Papa Francis kutua Kenya leo
NAIROBI, Kenya
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.
Wakati huohuo, Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.
Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.
Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa na baadaye Jamhuri ya Afrika ya Kati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Papa kutua Kenya Kesho
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kishindo cha Papa Francis Kenya
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa Francis awapa pole wa Kenya
9 years ago
Habarileo26 Nov
Papa Francis awasili Kenya kuanza ziara
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewasili nchini Kenya jana jioni kuanza ziara ya kihistoria ya siku sita barani Afrika. Akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini hapa, alipokewa na mwenyeji wake, Rais Uhuru Kenyatta aliyefuatana na mkewe Margaret pamoja na Naibu Rais, William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa Katoliki nchini humo.
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lwqh0Bt3h_Q/VlXWqWXtfOI/AAAAAAAAvyE/8bqfUB821Gs/s72-c/IMG-20151125-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PAPA FRANCIS AWASILI NCHINI KENYA JIONI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lwqh0Bt3h_Q/VlXWqWXtfOI/AAAAAAAAvyE/8bqfUB821Gs/s640/IMG-20151125-WA0024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQuxpyNXiu0/VlXWuMmcc8I/AAAAAAAAvyM/rz_8spo9GF0/s640/IMG-20151125-WA0023.jpg)
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Papa Francis kuweka historia leo