BREAKING NYUZZZZZZ.....: PAPA FRANCIS AWASILI NCHINI KENYA JIONI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lwqh0Bt3h_Q/VlXWqWXtfOI/AAAAAAAAvyE/8bqfUB821Gs/s72-c/IMG-20151125-WA0024.jpg)
Papa Francis akisalimiana na Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta wakayi alipowasili nchini Kenya leo ambapo atakuwa na ziara ya siku sita katika nchi za Afrika. Kushoto ni Mke wa Rais Kenyatta, Magret Kenyatta.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s72-c/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: RAIS KIKWETE ATANGAZA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s1600/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametangaza mabadiliko madogo katika Baraza lake la Mawaziri,ambalo Ameliapisha jioni hii Ikulu,Jijini Dar es Salaam.
Akitangaza uteuzi huo muda mchache kabla ya Mawaziri hao kuapishwa, Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue amesema uteuzi huo unahusu pia...
9 years ago
Habarileo26 Nov
Papa Francis awasili Kenya kuanza ziara
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewasili nchini Kenya jana jioni kuanza ziara ya kihistoria ya siku sita barani Afrika. Akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini hapa, alipokewa na mwenyeji wake, Rais Uhuru Kenyatta aliyefuatana na mkewe Margaret pamoja na Naibu Rais, William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa Katoliki nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis awasili nchini Uganda
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
9 years ago
Vijimambo23 Sep
PAPA FRANCIS AWASILI WASHINGTON, DC ALAKIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS BARACK OBAMA
![](https://cbswashington.files.wordpress.com/2015/09/gettyimages-489574434_master.jpg?w=809)
![](http://assets.nydailynews.com/polopoly_fs/1.2370330!/img/httpImage/image.jpg_gen/derivatives/gallery_1200/pope-francis-arrives-washington.jpg)
![](http://cdn.abclocal.go.com/content/creativecontent/images/cms/996735_1280x720.jpg)
![](http://i2.cdn.turner.com/cnn/dam/assets/150922155844-04-pope-visit-0922-exlarge-tease.jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Papa Francis kutua Kenya leo
NAIROBI, Kenya
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.
Wakati huohuo, Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.
Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.
Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa na baadaye Jamhuri ya Afrika ya Kati...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa Francis awapa pole wa Kenya
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kishindo cha Papa Francis Kenya