Papa Francis awasili nchini Uganda
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewasili nchini Uganda kwenye sehemu ya pili ya ziara yake Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lwqh0Bt3h_Q/VlXWqWXtfOI/AAAAAAAAvyE/8bqfUB821Gs/s72-c/IMG-20151125-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ.....: PAPA FRANCIS AWASILI NCHINI KENYA JIONI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lwqh0Bt3h_Q/VlXWqWXtfOI/AAAAAAAAvyE/8bqfUB821Gs/s640/IMG-20151125-WA0024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQuxpyNXiu0/VlXWuMmcc8I/AAAAAAAAvyM/rz_8spo9GF0/s640/IMG-20151125-WA0023.jpg)
9 years ago
Habarileo26 Nov
Papa Francis awasili Kenya kuanza ziara
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewasili nchini Kenya jana jioni kuanza ziara ya kihistoria ya siku sita barani Afrika. Akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini hapa, alipokewa na mwenyeji wake, Rais Uhuru Kenyatta aliyefuatana na mkewe Margaret pamoja na Naibu Rais, William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa Katoliki nchini humo.
9 years ago
Vijimambo23 Sep
PAPA FRANCIS AWASILI WASHINGTON, DC ALAKIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS BARACK OBAMA
![](https://cbswashington.files.wordpress.com/2015/09/gettyimages-489574434_master.jpg?w=809)
![](http://assets.nydailynews.com/polopoly_fs/1.2370330!/img/httpImage/image.jpg_gen/derivatives/gallery_1200/pope-francis-arrives-washington.jpg)
![](http://cdn.abclocal.go.com/content/creativecontent/images/cms/996735_1280x720.jpg)
![](http://i2.cdn.turner.com/cnn/dam/assets/150922155844-04-pope-visit-0922-exlarge-tease.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3FgczWesVpE/VlcSvF4-5MI/AAAAAAAIIgE/oVXLHzG8drE/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Tabora Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-3FgczWesVpE/VlcSvF4-5MI/AAAAAAAIIgE/oVXLHzG8drE/s640/6.jpg)
Askofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.
Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.
Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
10 years ago
StarTV13 Jan
Papa Francis kuanza ziara nchini Sri Lanka.
Papa Francis amewasili nchini Sri Lanka ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani hasimu za kidini nchini humo.
Pia Papa Francis akiwa nchini humo aanatarajiwa kuhimiza ala la maridhiano wakazi walio wengi wa visiwa vya Sinhalese na wale wachache wa kisiwa cha Tamil.
o que fazer viagra para homensHii ni ziara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea taifa hilo tangu ziara ya kwanza ya Papa ya mwaka 2009.
Rais wa sasa wa Sri Lanka...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashama Paulo Ruzoka Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s640/6.jpg)
Na Joseph Ishengoma, MAELEZOAskofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka (pichani) kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
9 years ago
MichuziBALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU